Haa haa haa! Naona hawana hata haja na msosi! Inanikumbusha enzi internet ilipoanza hapa bongo, mtu unashinda kwenye screen tangu asubuhi, unashtukia tu giza limeingia hata njaa hujaisikia!Bro hii kali
haka katoto kanaangalia nini. Ngoja nizoom nione.
Hawa nao ni wana JF....
Tena hako katoto mbele ndio kapo bize kweli, hapo wakija kustuka ni asubuhi wanatakiwa waende kazini na watoto shule.Haa haa haa! Naona hawana hata haja na msosi! Inanikumbusha enzi internet ilipoanza hapa bongo, mtu unashinda kwenye screen tangu asubuhi, unashtukia tu giza limeingia hata njaa hujaisikia!