mshingantahe
Member
- Aug 11, 2011
- 6
- 0
Hongera na hasa kwa record keeping nadhani na wengine tutaiga maana inafikia wakati unaitwa kwa interview hukumbuki hata uliomba kazi gani unaishia kuonekana mbabaishaji
Naomba mniombee niweze kufanya hii kazi vizuri, niweze kuproduce kinachotegemewa na mwanajiri wangu.
asanteni sana.