Jeshini Wanafundisha Nidhamu gani?

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Aug 13, 2015
318
662
Nimepata nafasi ya kupita jeshini kwa mujibu wa sheria (Operation Kikwete). Nimekua nikujiuliza ni nidhamu gani wanafundisha kule?

Lugha zinazotumika sio za staha kabisa. Nyimbo za matusi ni nyingi kuliko za uzalendo. Mbaya zaidi watu wakitoka jeshini huwa hawana heshima uraiani.

Nidhamu pekee niliyoiona ni ile anayopewa mwenye cheo. Sasa mpaka leo nabaki na maswali, hii ndo nidhamu inayofundishwa pekee?

Nimeona wanajeshi wa Marekani. Wale jamaa ni watu na nusu. Ni wakarimu sana wanapokua uraiani na mara nyingine huwezi kujua kabisa kama ni wanajeshi kwa namna wanavyoishi maisha ya ukarimu.

Sisi tunakwama wapi?

“You cannot be disciplined in great things and undisciplined in small things.” George S Patton
 
Nimepata nafasi ya kupita jeshini kwa mujibu wa sheria (Operation Kikwete). Nimekua nikujiuliza ni nidhamu gani wanafundisha kule?

Lugha zinazotumika sio za staha kabisa. Nyimbo za matusi ni nyingi kuliko za uzalendo. Mbaya zaidi watu wakitoka jeshini huwa hawana heshima uraiani.

Nidhamu pekee niliyoiona ni ile anayopewa mwenye cheo. Sasa mpaka leo nabaki na maswali, hii ndo nidhamu inayofundishwa pekee?

Nimeona wanajeshi wa Marekani. Wale jamaa ni watu na nusu. Ni wakarimu sana wanapokua uraiani na mara nyingine huwezi kujua kabisa kama ni wanajeshi kwa namna wanavyoishi maisha ya ukarimu.

Sisi tunakwama wapi?

“You cannot be disciplined in great things and undisciplined in small things.” George S Patton
Cha msingi umenyooshwa, inatosha Sana.
 
Jeshini kuna Ile kitu nidhamu ya woga, yaani MTU hafanyi Jambo from within but anafanya Kwa sababu anaogopa mamlaka iliyo juu yake.

Siku hamna mamlaka yakumsimamia anakuwa Hana nidhamu kabisa.


Wanafundishwa kutii haha nakuwa wazalendo Kwa serekali Ila hawafundishw kuhoji na kutafakari maelekezo kutoka juu kitu ambacho Kwa kizazi cha SASA hakina maana we just need the generations which can question things


Lamuhimu zaidi jeshini ni kujenga ukakamavu hapo wamejitahidi.. Ila ukakamavu ni swala endelevu ingawa wengi huacha mazoez jumlaaa baada ya jeshi...

We just need a reforms kwenye Hizi program za NS
 
Jeshini kuna Ile kitu nidhamu ya woga, yaani MTU hafanyi Jambo from within but anafanya Kwa sababu anaogopa mamlaka iliyo juu yake.

Siku hamna mamlaka yakumsimamia anakuwa Hana nidhamu kabisa.


Wanafundishwa kutii haha nakuwa wazalendo Kwa serekali Ila hawafundishw kuhoji na kutafakari maelekezo kutoka juu kitu ambacho Kwa kizazi cha SASA hakina maana we just need the generations which can question things


Lamuhimu zaidi jeshini ni kujenga ukakamavu hapo wamejitahidi.. Ila ukakamavu ni swala endelevu ingawa wengi huacha mazoez jumlaaa baada ya jeshi...

We just need a reforms kwenye Hizi program za NS

Reformation
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom