herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,345
Huh, mie nakutaka unifundishe wewe hawa wa huku watanipa matango poli tuJifunze tu JF, mbona Waswahili wapo wengi tu.
Huh, mie nakutaka unifundishe wewe hawa wa huku watanipa matango poli tuJifunze tu JF, mbona Waswahili wapo wengi tu.
Sexless ulipitia JKT? Au wewe ni wale ambao hawajawahi kupitia mafunzo hayo? Unaufahamu uaskari wa vita vizuri?Sherehe za Muungano hazina mvuto kabisa. Ni bora tuwe tunapumzika kama tufanyavyo siku za Nyerere na Karume days. Vinginevyo Rais awe analihutubia taifa moja kwa moja toka Ikulu. Kama vipi yafanyike makongamano ya kujadili kero za Muungano.
Nimekuwa nikifuatilia maonesho ya mbinu za kijeshi za majeshi yetu kuanzia makomando mpaka jeshi la polisi, hakika hazioneshi kwenda na wakati.
Katika zama hizi za teknolojia ya ndege zisizokuwa na rubani na kurusha makombora ya masafa marefu... Ninyi mnaonesha kupigana na matofali na vipande vya mbao? Ni lini utakutana na adui umpige na tofali? Labda kama ni mbinu za kuwadhibiti wapinzani hapo sawa.
Mapambano dhidi ya wahalifu au Vita katika zama hizi yanafanywa kiakili na kiteknolojia zaidi. Mahitaji ya mtu anayeweza kuhimili kupigwa na nondo ama tofali yamepungua sana kama siyo kwisha kabisa.
Wahalifu wengi hawana maguvu ya mwili wala hawatumii nguvu katika kutekeleza mambo yao. Na hata wapiganaji wa zama hizi hawatumii tena magumi wala maguvu kubeba matofali. Kuna vifaa vya kiteknolojia vinavyofanya yote haya.
Niombe mtuoneshe mambo yanayoendana na mabadiliko ya zama. Onesheni show za kisasa kama zile za Korea Kaskazini.
Marekani pamoja na teknolojia yake alitolewa jasho na vietcong (peasants) katika vita ya VietnamEmbu acheni kukuza hili jeshi kwa kipimo cha M23 hao wabeba AK-47 na vibomu vya kutengeneza nyumbani.
Ingekua watu kama Al shabab au Boko haram sawa maaana wale wapo njema kila idara had mizinga wanayo so hao M23 ukiwaona tu km wanaumwa unyafuzi.
Na kweli kabisa, subiri apigwe mtu kisha anyooke uwanjani ndio watatia akili, wadhingiliaji wataomboleza muda huohuo.Tupo kwenye zama za mawe.
wabongo mnachonga sana, subirini mtekwe ndio mutatia akili.unawapa mpini wa jembe au sururu tuone kama atajaribu kumpiga nao
Inaonekana wewe ni mwerevu sana...Kama hujui si lazima kujibu kila thread.
Unazidi kuonyesha werevu wako, kuwa u genius kuliko wengine humu JF...We we ulifaulu au ulifeli?
Unatakiwa kuelewa kuwa huko kuvunja tofari, kukunja nondo kunakofanywa na hao askari ndio kunakufanya upate nafasi nzuri na uhuru wa kuandika kwenye hii forum kwa amani kabisa, wakati wananchi wenzio huko DRC, Garisa, Somalia, Chiboku Nigeria, Southern Sudan, etc hawana muda, amani na utulivu kama wewe. Muda wao mwingi wanautumia kulinda roho zao wenyewe, ila wewe unapiga tu kelele humu unajifanya unajua....Kama kuvunja tofali la udongo ni ukakamavu vipi anayevunja msitu heka nzima kufungua Shamba?
Hivi umeshawahi kujiuliza kwa nini waasi wakikimbizwa ni kukimbilia Kenya,Congo,Rwanda,Sudan na nchi nyingine za Afrika mashariki na kati,na sio Tanzania?
Unajua wanajeshi wetu wanafanya nini huko mipakani kuzuia hilo?... Waulize watu wanaoishi mipakani ndio wanajua mziki wa JWTZ.
Wiki iliyopita zaidi ya wanajeshi 30 wa Tanzania wametunukiwa na UN.Wacongo wanalifagilia jeshi la Tanzania kuliko lao.
Katibu Mkuu wa UN alisema JWTZ ni jeshi lenye nidhamu na weledi wa juu kwenye mapambano kiufupi ni jeshi bora.
Amani unayoiringia kuna watu wanapoteza maisha yao kuilinda... Kuwepo na amani ya mda mrefu kiasi hichi ni ishara tosha jeshi letu liko imara sana.
Siamini kama na wewe umenasa kwenye hoja mfu kama hii. Kweli Tanzania imejaa vilazaNajiuliza tu utakutana saa ngapi na mwanajeshi wa Malawi au north korea muanze kurushiana matofali kwa zama hizi ????
Ahsante kwa ushauri. Ila kumbuka pale walikuwa wakionesha ukakamavu kunogesha sherehe na si mbinu za medani.Mkuu haya ya ufipa yanakujaje hapa kwenye masuala ya kitaifa? Jeshi halina chama, usimuabishe Polepole hapo Lumumba. Chukua buku 7 zako za leo lkn usirudie tena kutoa komenti dhaifu kama hii.
mkuu Yale matofali sina uhakika kuwa yanafaa kwa matumizi ya kujengea maana haiwezekani tofali ya sementi ikapigwa nyundo moja ikawa mchanga kihasi kile
Nashukuru sana dada kwa hili jibu, nilitaka kusema jambo ila hili lako kwa mwenye akili timamu kakuelewaTanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Wale walikuwa wanaonyesha onyesho la kufurahisha waliokwenda uwanjani na ukakamavu wao, ile ni sanaa kama sanaa zingine. Hawakuwa pale wakionesha mbinu za kupigana na adui.
Hivi majeshi yetu yanapofanya gwaride ina maana wanatuonesha mbinu yao ya kupigana na adui?
Wacheni kuwa mapunguani.
Huh, mie nakutaka unifundishe wewe hawa wa huku watanipa matango poli tu
hahahaha zama za mawe za kati teh teh tutapasuka kama matofali siku kikinukaTupo kwenye zama za mawe.