The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 546
- 945
Shukrani kwa mchango wako mkuu!,Tunaomba tuone toleo la kwanza hapa basi Mzee!bau umetengeneza tiara ukadhani ndio drones za mashambulizi?
ππ»ππ»
Shukrani kwa mchango wako mkuu!,Tunaomba tuone toleo la kwanza hapa basi Mzee!bau umetengeneza tiara ukadhani ndio drones za mashambulizi?
"The Israel Police and the IDF said that they have so far identified the bodies of 1,075 of those killed in the Hamas massacre. As of now, 769 civilians and 307 soldiers have been identified."Ha ha ha ha
Eti imeua wanajeshi 300 wa Israel.
Kama ameweza kuua wote hawa si vita ishaisha.
ππππππππππ
Mkuu ikikupendeza tuwekee picha ya hiyo 'drone' toleo la kwanzasikufatilia mkuu!
ndiyo maana nasema wewe endelea na hayo mawazo yako,si mabaya,ila mimi nitafanya kazi zangu.
nImeahidi 2024 kutoa toleo la pili.
Ni kweli kabisa hawa vijana wabunifu ni national treasure-tunu ya taifa.Samia aione hii ni dhahabu ktk nchi , watu km nyiny mnapaswa kutunzwa vzr ila ubinafs wetu tu , ningekuwa rais ungekuwa na mji wako na theatre yako kbs
Zanzibara ina ardhi ambayo ni mali yake huko Bagamoyo serikali ya Jamhuri wa muungano haina ubavu kuingia na kuchunguz chochote wewe jifariji. Endapo Zanizbar itajitenga na ikakaribisha watu wa nasaba zao kutoka kwenye visima vya mafuta Tanganyika mtakipata cha mtema kuni. Ardhi iliyoko Bagamoyo imeambaa mpaka baharini na mpaka sasa kuna bandari bubu ambazo Tanganyika hawazifahamu zinashuka mizigo kutoka Zanzibar na kwinginekoNo offence but its sound unrealistic
Adui huyu itabidi awe na unlimited resource ya kuchimba andaki from zanz to tanga bila kuwa detected.
You do realize wanachimba undersea?
Thats different story from congo
Haya basi sawa kama umefikiri toa sasa ideas nini kifanyike au unataka tu kujua aina ya mikakati ya kimapigano na silaha? hapo wahusika hawatakueleza watanuna sanaHuwa situmwi kufikiri na ku theorise the future.