Jeshi la Wachekeshaji Tanzania (JWTZ)

Anae ona aibu pambafu kbs huwezi kuona aibu kisa mabomu u stupid just imagine ajali zinauwa wa tz wangapi per day?unayo takwimu wangapi wanapoteza viungo vya miili yao?its not da same like gongo la mboto mbona mnakosa adabu kwa JWTZ u go Ngara,kigoma mpakani kule harafu ndo uandike huo upuuzi wako kuwa ni fool, ile ni ajali tu br,unajua jamaa wanajituma sana wamesaidia mangapi TZ,nakumbuka hawahawa ndo wanaokufanya ujiite ni nchi ya amani,kama vp ww nyamaza coz your so stupid ma (unatia hasira sana ww sema imeshatokea wafanye nn kuzuia sehemu nyingine hy ndo hoja!!!!THANKS
 
I do not know how old you are. But all those years you have been sitting your ass down dreaming all sweet dreams because the so you call " jeshi la wachekeshaji" are busy for an idiot like you. It takes security knowledge to appreciate the role of any military. To help you mr. rumour monger, TPDF is among the most respected armies in Africa for its professionalism. Milipuko yaweza sababishwa na sababu nyingi tu "technical". Mbagala watu walikuwa wana-perform daily care pale explosion ilipotokea, and they all died, to your joy. Gongolamboto is a different story. So stop fooling yourself about the pro of the military in Tz, kid. Better appreciate the little they do rather than kutumia accident ya milipuko kuli-crash jeshi zima. And one thing more, NO COUNTRY ON EARTH SELLS ITS EXPLOSIVES BEFORE TRAING THE EXPERTS. that is how it works. Hivyo acheni kelele za kijinga kuhusu jeshi. Nenda Kigoma na Kagera uone wanavyolichukulia jeshi lao. Know, stop fooling people around, poor kid?

Sorry I guess ur one of the old buddies U sound like a retired KAR soldier. Ur excuses for explosions at Gongolamboto are as shocking as the incident itself. Ur say TZ military is professional yet u think the explosion could be technical! Do u ever listen 2 yourself?

Let me tell u that accidents do not just happen there must be series of event leading to any so called accident. Its that series of event that tells whether you are professional or not!

Your long list of places and country where explosives accident have happened is not an excuse for such accidents to happen any anywhere in this World. The fact that it happened in China or Mbagala doesn't mean there were no technical weakness. Think critically! Know the fact of life respect is earned and can be lost...
 
Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!

Hivi inakuwaje kama wanajeshi wanaungana na wanasiasa na kufanya mambo ya business as usual? Naogopa! Professionalism inawezekana inaondoka taratibu jeshini pia...hivi tunajua madhara ua kuwa na jeshi lisilo na nidhamu kwa sababu ya corruption au favoritism au nepotism? Mabomu ni wake up call tusijidanganye....tumeamshwa sasa tuanze kuyaangalia mambo tofauti na tunavyoyaona sasa. Time is running out!
 
Nyenyere you are CUNT.You cannot defend the stupidity!
-The fact that 2 explosions occurred in the army barracks in THE CITY of Dar Es Salaam,that is not bad luck!Hakuna excuse
-Rejea MEREMETA na helikopta fake,ujue huu ni ucomedian!


Naona unaenjoy matunda ya Jeshi,hivyo you are blind with reality.Usitufanye sisi stupid,tunajua nini kinaendelea.

Enjoy bia za bure,ngono na ignorance yako.
 
Wakati wengine wanapinda mgongo kufanya kazi na kutoa jasho, inaumiza kuwa asilimia karibu hamsini ya mapato yao yanachukuliwa na watu ambao hawajali hawa watu inatakiwa walindwe vipi.

Gongo la Mboto ni mfano mkubwa wa proffessional failure hata mtu utumie maneno gani makali kuhalalisha kilichotokea. Huwezi kuniambia eti Gongo la Mboto na Mbagala ni vitu tofauti. Tofauti yake nini?

Utetezi unaotolewa humu unaonesha kweli jinsi jeshi lilivyo LOW na niseme tena LOW katika "professional conduct". Mtu yeyote aliyepatiwa training ya Engineering hawezi kusema hii ni ajali tu!! Ina maana huko Jeshini vifaa vya milipuko kama makombora na mabomu yanalindwa na watu wasiokuwa na training yoyote! Aaah inatia kichefu chefu.

Ni kweli hali ni mbaya jeshini! Kauli ya "hii ni ajali tu" haitolewi hata siku moja na mtu aliyepatiwa training. Dreva aliyepata training nzuri akaiva anajua kuwa ajali zote bara barani husababishwa!! Hakuna muujiza. Ukisikia dreva analia, aaa hii ni ajali tu, ujue ndo wale madreva ambao mafunzo yao wanayapata kwenye vituo vya Dala dala.

Nirudie tena, Katika Engineering (Mabomu ni Engineering Materials) HAKUNA AJALI. NA ALIYESOMA ENGINEERING ANATA 'TESTIFY' HIVYO, LABDA AWE ENGINEER WA BONGO FLAVOUR. HAKUNA AJALI bali KUNA UZEMBE, HUJUMA, UVIVU, UTOTO, UJINGA, N.K.

Kama hiyo ingesababishwa na tetemeko la Ardhi, Mlipuko wa Volcano, Kimbunga, Wimbi la Tsunami au radi na vitu kama hivyo, hapo tunasema ni "MATUKIO YASIYOZUILIKA". Lakini hata haya yasiyozuilika, kuna maalifa makubwa tayari yapo, na design inatakiwa ziyazingatie kupunguza athari.

Kwa hiyo kitu kinachoweza kuelezea sababu ya Milipuko ya Mabomu Mbagala na Gongo Mboto ni Uzembe, Ujinga, Uvivu, Utoto, Utapeli, Hujuma, na mengine mengi yanayofanana na hayo! Hizo ndo sababu. Suala sasa ni nani aliyehusika! Hilo ndo swali ambalo inatakiwa wachunguzi waje watuambie. Mbali na hapo ni kujidanganya.

Hiyo orodha ya sehemu ambako milipuko ilishatokea inasaidia kutuonesha kuwa hata sehemu zingine duniani uzembe bado upo! Sasa tubariki uzembe kwa kuwa na kwingine upo??? No way!
 
Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!

:A S 13:Umekosea kiongozi mwenzangu, walio kufa wengi si wanajeshi au Askari kama we ulivyo sema ni wananchi, au we hujui? Na kiukweli baada tu ya matukio ya Mbagala kutokea basi mara moja Jeshi letu ambalo wanajisifu kwa kujenga madaraja, wangechukua tahadhari ya maghala mengine, ni si hivi ilivyo sasa, mimi sielewi kwanini pasiwepo na wa kuwajibika???:A S 13:
 
Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!


Kwa nini stock taking hamkufanya baada ya mabomu ya mbagala. Na je inakuwaje mnahifadhi vitu hatari namna hii bila kuwa na utaalamu. Hivi watu waliopoteza maisha mtawarejesha au mtabaki kusema very sorry na ku apologize.
 
Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!

Ndugu;
Acha kutuingiza vikapuni!! utalaam unaouzungumzia ni upi? Kama hawana utalaam nayo waliyanunua kwa ajili gani? wangeyatumia vipi? hakuna jeshi duniani linalonunua silaha lisilojua matumizi yake!!! matumizi ni pamoja na matunzo. usilete porojo na longoloongo za kisiasa!!!
Mimi nakubaliana na mtoa maada!!! kama weye ni mwanajeshi basi rudi huko kambini kawaeleze wezi wenzako kuwa RAIA walishashtukua DILI!!!
 
unapofanya uteuzi wa watendajiwa serikali kwa kuangalia urafiki na uswahiba, mpaka katika national security (very serious sector) kwa kigezo hicho hicho ni hatari sana. Wewe kama comamnder and chief amri yako lazima ionekane nyepesi tu.

Mnadhimu mkuu wa jeshi the chief administrator bwana shimbo - ni rafiki mkubwa wa jk, rumours has that hata wanajeshi wengi hawajui amepenya penyaje mpaka kufikia rank aliyonayo.

na kwamba alipaswa kustaafa since last year lakini akaongezewa miaka miwili siku wamepanga kumpigia gwaride la kuagwa.

Haiwezekani uwe mkuu wa nchi kisha na amiri jeshi mkuu kisha:
Wakuu wa wilaya, mikoa, wakurugenzi wa wilaya na mikoa na wizara na idara nyeti, makamanda wa majeshi na wakuu wa mahakama, mawaziri etc wote wawe maswahiba zako kisha unajiita Commander and Chief. Unaweza kum-command nani na ajisikie kuwa he/she is commanded by his commander and chief and not commanded by his friend?

ndiyo maana hata kwenye kadamnasi mwamnyange alikuwa ni kama anababaika kujibu maswali maana yale hayakupaswa kuulizwa mbele ya watu, yalipaswa kuulizwa kwenye vikao either vya baraza la usalama au wakiwa wawili tu.
 
To help you mr. rumour monger, TPDF is among the most respected armies in Africa for its professionalism.

You must be joking!! JWTZ a professional army? give us your source please. A professional army does not make political statements as ours did just before the elections.
 
  • Jeshi letu lina wataalamu kibao na pia wanahudhuria mafunzo mengi tu kuelewa mambo ya kisasa kijeshi na kiuongozi ( mfano wa clip hii mmojawapo wa askari wa cheo cha juu JWTZ) na mara nyingi 'potential ' ya jeshi huonekana kama kuna kiongozi wa kisiasa mzuri mfano mradi wa magari ya Nyumbu ni zao la kuwa na kiongozi wa kisiasa mwenye visheni nzuri.
  • kiongozi (mwanasiasa) mzuri huwawezesha walio chini yake kujitokeza na kuonyesha uwezo wao, kiongozi asiye bora huwa hawawezeshi walio chini yao kufikia kilele cha uwezo wa kila jambo ambalo linawezekana.
  • Ndiyo ndani ya JWTZ akipewa sapoti basi JWTZ inaweza kuwa kisima cha ubunifu ktk kila nyanja.
 
Last edited by a moderator:
Ukiniambia JWTZ ya akina Musuguri,Mayunga,Twalipo,Walden etc hilo ndilo lilikuwa Jeshi.

Sasa ni ubishoo,ngono,politics na ulaji tu.
 
Back
Top Bottom