mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,934
Pole sana dada yangu Kwa changamoto hii uliyopata.Kila jambo Lina kusudi lake.Kaa mshukuru Mungu na umuombe sana akuvushe kipindi hiki Cha majaribu haya.Usikate tamaa,jambo lolote unalowaza ambalo ni la Mafanikio tekeleza.Kikubwa Usikate Tamaa na Mungu atakubariki.Nawasalim kwa jina la JMT, Naamin kila mmoja wetu ni mzima wa afya na kwa wenzetu ambao hawako sawa kiafya basi mwenyezi Mungu awafanyie wepesi...
Mwisho wa yote Kwa mawazo yangu ulivyosema kozi ya Uhamiaji,na unasema Kuna mtu alikushika mkono kwanini hujamtafuta Tena? Au ukiona Haina haja.
Lakini pia mawazo yangu yawezekana labda umri ndio kitu kilichokuondoa kwenye kozi,waliamua kusema Afya Kwa kuwa huwezi hoji KOKOTE kwani majibu Siri Yao.Umri Wakati wa Tangazo ulisemaje? Na wewe uliajiriwa kwenda kozi kama mtaalamu au vile vigezo vya kidato Cha nne au sita?
Samahani lakini Kwa haya maswali.