johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,121
Msemaji wa Jeshi la Polisi Kamishna Misiime amesema Jeshi lake limeanza Uchunguzi wa Kifo cha mwanafunzi wa UDOM Nusura Hassan kilichotokea mkoani Kilimanjaro
Kamanda amesema tukio hilo limezua Mjadala mkubwa mitandaoni likimuhusisha Naibu waziri wa Tamisemi mh Dugange
Tusiime amesema Uchunguzi huo utamshirikisha pia Mkemia mkuu wa Serikali na Watu mbalimbali watahojiwa
Sabato njema!
Kamanda amesema tukio hilo limezua Mjadala mkubwa mitandaoni likimuhusisha Naibu waziri wa Tamisemi mh Dugange
Tusiime amesema Uchunguzi huo utamshirikisha pia Mkemia mkuu wa Serikali na Watu mbalimbali watahojiwa
Sabato njema!