FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Kwanza kabisa naomba niseme jeshi letu la polisi linatakiwa lisifanye kazi upande wowote ule sababu mishahara yao inatokana na kodi zetu.
Kwann nasema polisi tz hakuna kitu tumeona msiba wa msanii wetu kipenzi KANUMBA uliotokea juzi nyumbani kwake sinza vatican.kifo kilikuwa hakiaminiki kimesababishwa na nn wengine LULU alimsukuma kanumba
Wengine walikuwa wanapigana kisa simu
Wengine wote walikutwa uchi
sasa leo polisi inakuja kusema kifo cha marehemu kilisababishwa na JACK DANIEL ina alcohol 46 percent hapo ndo maswali zaidi yarudi
Hivi si juzi KANUMBA wakati anahojiwa na salama kipindi cha mkasi alisema hanywi pombe??????
Pili jeshi la polisi walivyo wazembe sehemu ya crime scene ambapo ndo nyumbani kwa kanumba kumejeuka kuwa sehemu ya kuomboleza.
Kwa upeo wangu mdogo ile nyumba ingekuwa iwe closed huwezi niambia jack daniel imuue kanumba pia huwezi niambia lulu hajaplay part kwenye hiki kifo.
Pia hatuweze kukwepa mdogo wake hajausika pia
Ndani ya nyumba walikuwa watu watatu mmoja kafa wamebaki wawili hawa ndo wakuhojiwa lakini ushahidi mkubwa mmeshaua kuruhusu nyumba ya crime scene kufanyika maombolezo.
Polisi wangepaswa kuclose nyumba yote kama kwa siku tatu tuaona kwanye muvi na series ya kipelelezi ya CSI au mnataka kuniambia hakuna kitego cha upelezi
Eti mnamuweka mtoto wa watu jela mnamuhoji yeye wakati ushahidi muhimu mumeshaufuta.
Polisi ndo wakubeba lamawa ushahidi mkubwa mmeupoteza ile nyumba ingekuwa closed japo sijasomea upelelezi lakini mngeweka no je movement zao zilikuaje walitoka hapa kwenda kule halafu muhimu kuwa mnarud kumhoji lulu na kaka yake.
Hatuwezi jua labda mtu kutoka nje alikuja kukamilisha huo mpango kwa mkataba maalumu kati ya mdogo mtu na lulu
Mimi huwezi niambia marehemu eti amekunywa jack daniel akafa hapana
My take:
Polisi msirudie tena kosa hili kama kitu kimetokea kinahusishwa na maauaji sehemu iliyotokea ifungwe na kufanya uchunguzi crime scene
Na raisi wetu alivyo mzembe amekwenda kutembelea crime scene na kutoa rambirambi ina maana kabariki hiki kifo
Majanikv
From
Machimboni
Kwann nasema polisi tz hakuna kitu tumeona msiba wa msanii wetu kipenzi KANUMBA uliotokea juzi nyumbani kwake sinza vatican.kifo kilikuwa hakiaminiki kimesababishwa na nn wengine LULU alimsukuma kanumba
Wengine walikuwa wanapigana kisa simu
Wengine wote walikutwa uchi
sasa leo polisi inakuja kusema kifo cha marehemu kilisababishwa na JACK DANIEL ina alcohol 46 percent hapo ndo maswali zaidi yarudi
Hivi si juzi KANUMBA wakati anahojiwa na salama kipindi cha mkasi alisema hanywi pombe??????
Pili jeshi la polisi walivyo wazembe sehemu ya crime scene ambapo ndo nyumbani kwa kanumba kumejeuka kuwa sehemu ya kuomboleza.
Kwa upeo wangu mdogo ile nyumba ingekuwa iwe closed huwezi niambia jack daniel imuue kanumba pia huwezi niambia lulu hajaplay part kwenye hiki kifo.
Pia hatuweze kukwepa mdogo wake hajausika pia
Ndani ya nyumba walikuwa watu watatu mmoja kafa wamebaki wawili hawa ndo wakuhojiwa lakini ushahidi mkubwa mmeshaua kuruhusu nyumba ya crime scene kufanyika maombolezo.
Polisi wangepaswa kuclose nyumba yote kama kwa siku tatu tuaona kwanye muvi na series ya kipelelezi ya CSI au mnataka kuniambia hakuna kitego cha upelezi
Eti mnamuweka mtoto wa watu jela mnamuhoji yeye wakati ushahidi muhimu mumeshaufuta.
Polisi ndo wakubeba lamawa ushahidi mkubwa mmeupoteza ile nyumba ingekuwa closed japo sijasomea upelelezi lakini mngeweka no je movement zao zilikuaje walitoka hapa kwenda kule halafu muhimu kuwa mnarud kumhoji lulu na kaka yake.
Hatuwezi jua labda mtu kutoka nje alikuja kukamilisha huo mpango kwa mkataba maalumu kati ya mdogo mtu na lulu
Mimi huwezi niambia marehemu eti amekunywa jack daniel akafa hapana
My take:
Polisi msirudie tena kosa hili kama kitu kimetokea kinahusishwa na maauaji sehemu iliyotokea ifungwe na kufanya uchunguzi crime scene
Na raisi wetu alivyo mzembe amekwenda kutembelea crime scene na kutoa rambirambi ina maana kabariki hiki kifo
Majanikv
From
Machimboni