..jamani jeshi la marekani linaruhusu ushoga waziwazi.
..wameondoa ile sheria yao ya "dont ask dont tell"
..itakumbukwa kwenye wikileaks, JK na Kapuya, walikuwa wakimpinga Gen.Waitara aliyekuwa akishinikiza JWTZ isiwe na mahusiano ya Kijeshi na Marekani.
..mimi napenda kujua CCM,JK,Hussein Mwinyi,Mwamunyange,na Shimbo, wana msimamo gani kuhusu JWTZ kushirikiana na jeshi la Kishoga la Marekani.
..wameondoa ile sheria yao ya "dont ask dont tell"
..itakumbukwa kwenye wikileaks, JK na Kapuya, walikuwa wakimpinga Gen.Waitara aliyekuwa akishinikiza JWTZ isiwe na mahusiano ya Kijeshi na Marekani.
..mimi napenda kujua CCM,JK,Hussein Mwinyi,Mwamunyange,na Shimbo, wana msimamo gani kuhusu JWTZ kushirikiana na jeshi la Kishoga la Marekani.