Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

Kw diploma tulikuepo pale udsm tulikua 75 round za kuzunguka uwanja zilikua 12 uwezo wako wa kukata upepo ndo utakao kuokoa


Kubabake....
Sasa mbona huyo highness long anamdanganya danhosnoop kuwa ni raundi 8 kumbe ni 12....
Ngoja kesho danhosnoop akafie uwanjani pale.... Raundi ya 3 tu chali.
Mzunguko wa lile pitch sio wa kitoto...
Watu wanakufaga pale... Jana kafa mmoja.
 
Kubabake....
Sasa mbona huyo highness long anamdanganya danhosnoop kuwa ni raundi 8 kumbe ni 12....
Ngoja kesho danhosnoop akafie uwanjani pale.... Raundi ya 3 tu chali.
Mzunguko wa lile pitch sio wa kitoto...
Watu wanakufaga pale... Jana kafa mmoja.
Hapana sio kwa wote, wengi walienda nane hasa wale wa kwanza nimdanganye ili nifaidi nini sasa
 
Kubabake....
Sasa mbona huyo highness long anamdanganya danhosnoop kuwa ni raundi 8 kumbe ni 12....
Ngoja kesho danhosnoop akafie uwanjani pale.... Raundi ya 3 tu chali.
Mzunguko wa lile pitch sio wa kitoto...
Watu wanakufaga pale... Jana kafa mmoja.
Mkuu comment zako zote nikisoma huwa nacheka sana....

We jamaa ni bonge la commedian aisee.....
 
Kubabake....
Sasa mbona huyo highness long anamdanganya danhosnoop kuwa ni raundi 8 kumbe ni 12....
Ngoja kesho danhosnoop akafie uwanjani pale.... Raundi ya 3 tu chali.
Mzunguko wa lile pitch sio wa kitoto...
Watu wanakufaga pale... Jana kafa mmoja.
Hahahahaaa round 12 kwenye lile pitch sio masihara, mtu unaeza kaa chini. afu kibaya zaidi ni kwa kushindana
 
Back
Top Bottom