Yericko Nyerere Ndie Jason Bourne ?Naibu kamanda wa jeshi la Iran Jenerali Mas'ud Jazairi amesema kuwa Iran itajibu mashambulizi yoyote ya Israel dhidi ya vituo vya kuzalisha nishati ya nyuklia hapa nchini kwa kulenga kituo cha silaha za nyuklia cha Israel huko Dimona.
Jenerali Jazairi amesema kituo cha silaha za nyuklia cha Dimona ni shabaha rahisi kwa jeshi la Iran na kwamba iwapo utawala huo ghasibu utathubutu kushambulia Iran basi Tehran haitanyamaza kimya. Ameashiria pia vitisho na mipango ya Marekani ya kutekeleza mauaji ya kigaidi dhidi ya viongozi wa ngazi za juu wa jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kusisitiza kuwa majibu ya Iran yataitia majuto Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Siku chache zilizopita utawala ghasibu wa Israel ulisema kuwa unafikiria kushambulia vituo vya kuzalisha nishati ya nyuklia nchini Iran.
Sawa mkuu kwa taarifa ila mimi nina mashaka na uwezo wa Irani kama kweli Israel wataamua ku attack Nuc sites za Irani. Maana nadhani bado wanazo patriotic missiles za wakati ule wa Gulf war modified versions. Ila ni hatari kubwa kwa dunia yote!!!!!!!
Sawa mkuu kwa taarifa ila mimi nina mashaka na uwezo wa Irani kama kweli Israel wataamua ku attack Nuc sites za Irani. Maana nadhani bado wanazo patriotic missiles za wakati ule wa Gulf war modified versions. Ila ni hatari kubwa kwa dunia yote!!!!!!!
Israel ni taifa la Mungu
Israel siyo taifa!wamepora ardhi ya wapalestina!waisraeli ni WATUMWA hawana nchi
Nani kasema Israel ni taifa teule hebu ingia google andika Ashkanazi Jews ndio utasema hawa wanaojiita wayahudi sio wale waliokuwa Taifa Teule akili zako fupi wale ni wayahudi walio jifanya wayahudi asili yao sio kabisa uzao wa Ibrahim