Jerry Slaa, ulitembea kwa miguu kutoka Banana mpaka Kitunda kuomba kura. Leo hii baada ya kupata hizo kura hujaonekana tena.
Ni fedheha kubwa kwa eneo ambalo ni mkabala kabisa na Airport kuwa na barabara ambazo zinatia aibu.
Kuna mahandaki ambayo mtu mwenye gari ndogo anafirikiria mara mbili kupita achalia mbali watembea kwa miguu.
Haya matatizo yamekuwa endelevu lakini kila mwaka mnajifanya kushangaa mkiona hali ilivyo.
Jerry Slaa, unapiga sana misele sasa hivi kujifanya unashughulukia mambo ya wizara, hebu njoo upige misele na jimboni kwako basi uone hali ilivyo.
Ni fedheha kubwa kwa eneo ambalo ni mkabala kabisa na Airport kuwa na barabara ambazo zinatia aibu.
Kuna mahandaki ambayo mtu mwenye gari ndogo anafirikiria mara mbili kupita achalia mbali watembea kwa miguu.
Haya matatizo yamekuwa endelevu lakini kila mwaka mnajifanya kushangaa mkiona hali ilivyo.
Jerry Slaa, unapiga sana misele sasa hivi kujifanya unashughulukia mambo ya wizara, hebu njoo upige misele na jimboni kwako basi uone hali ilivyo.