FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
12-03-2010 Leo ilikuwa ni Kesi ya huyu Mtangazaji wa TBC one ..Kuna yeyote aliye na update mpaka sasa Kesi inakwendaje??MJI na wengine tupeni news
weekend Njema
weekend Njema
Micheal bado ana chunguzwa na Taka-kuru hivyo wana hii delay case yake, imepigwa kalenda.
Mmhh kumbee leo ni Weekend? nilikuwa nimejisahau kabisa duh!
kama kweli alipokea rushwa na aende ndani bana!
How come unapreach usafi wakati weye ni mchafu!
Kama kweli alipokea rushwa na aende ndani bana!
How come unapreach usafi wakati weye ni mchafu!
Mwacheni apumnzike jamani maana yaliyo mkuta anajuuuuuuuuuuuuuta
Kama kweli alipokea rushwa na aende ndani bana!
How come unapreach usafi wakati weye ni mchafu!
Kumbe sasa amepumzika tu anapunga upepo wa bahari!
Kumbe sasa amepumzika tu anapunga upepo wa bahari!
Mwacheni apumnzike jamani maana yaliyo mkuta anajuuuuuuuuuuuuuta