Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Hi kamanda. Kwa Banda kama hilo ni saizi gani? Na mfano ukipanda nyanya au hoho kwa kufata matakwa yake sahihi kwa vuno moja waweza pata kiasi gani?

Samahani ndugu, naomba usome thread nzima utafaidika zaidi. kwani maswali yote nimeshayajibu. Ama kwa swali lako, hakuna mvuno mmoja au miwili au mitatu, tunavuna kila wiki kwa mwaka mzima, na avarage ni kilo 300-700 kwa wiki kulingana na matunzo na ufuataji taratibu na muongozo wa kilimo.
 
Alhamdullilah..nilionaga hizi Greenhouse wakati naelekea mbeya.Nilipata sana shauku ya kufahama mahema yale..
Ahsante sana Mkuu mamaNa
 
Samahani ndugu, naomba usome thread nzima utafaidika zaidi. kwani maswali yote nimeshayajibu. Ama kwa swali lako, hakuna mvuno mmoja au miwili au mitatu, tunavuna kila wiki kwa mwaka mzima, na avarage ni kilo 300-700 kwa wiki kulingana na matunzo na ufuataji taratibu na muongozo wa kilimo.

Ok ahsante mkuu wa kazi. Ngoja nilifanyie mkakati
 
Just a Quick Update,
Msikose kuangalia TBC1 Leo (27/04/2014) Saa Tatu Kamili Usiku Ntakuwa naongea na Msimbe wa Amka Tubadilike Kuhusu Kilimo cha Greenhouse na Jinsi gani naweza kuwasaidia wakulima kubadilisha maisha yao. Kuna mengi yatazungumzwa. Usikose.

Kama kuna maswali utakuwa nayo kutoka kwenye kipindi, Tafadhali wasiliana nami Moja kwa moja kupitia namba 0714881500 au PM.
 
Nchi zetu wanazoziita third world ingenuine products za zimemeza soko kwa kutokuwa na regulative borders kuzuia hizi products na sio industrialized kwenye kila jambo ndo mana tunadharaulika kwa kuletewa bidhaa fake mpaka radar, ndege ya Rais.

dalili ya mtu anenda kufa akiwa masikini.... ni hii ya kufanya siasa kwa kila kitu... sasa ndege na issue ya kilimo cha green house imekujaje??
 
Abdulatif kwa nini uliamua kujiita mama naa,anyway nakuona TBC naendelea kukuamini kwenye kilimo hiki kama nilivyoanza kukuamini hapa JF nitakutafuta nikija Dar,much respect...
 
Abdulatif kwa nini uliamua kujiita mama naa,anyway nakuona TBC naendelea kukuamini kwenye kilimo hiki kama nilivyoanza kukuamini hapa JF nitakutafuta nikija Dar,much respect...

Hii ID kila mtu anaihoji, please lets stick to the business.
Nb: initially ilikuwa ya Wife (Binti yangu ana jina linaanzia na NA). We just dont see the reason of having two ID's.
 
Abdulatif kwa nini uliamua kujiita mama naa,anyway nakuona TBC naendelea kukuamini kwenye kilimo hiki kama nilivyoanza kukuamini hapa JF nitakutafuta nikija Dar,much respect...
nimeona tbc one leo usiku .huyu jamaa yupo fit kweli,nilikuwa siyajuh haya masuala ya green house kwa upana
 
Nipo kiongozi. Kwema?
mkuu mamaNA mi nipo chuo kwa sasa ila nikimaliza hii kitu ipo kwenye damu aise,honera sana kaka kwa kufika hapo.pia umesema kuwa unazo dvd kuhusu kilimo hiki na vitabu twaweza vipata vipi ili wengine tuwe aware ambao hatujawahi soma masomo ya kilimo kama wewe ulivyoanza?
 
mkuu mamaNA mi nipo chuo kwa sasa ila nikimaliza hii kitu ipo kwenye damu aise,honera sana kaka kwa kufika hapo.pia umesema kuwa unazo dvd kuhusu kilimo hiki na vitabu twaweza vipata vipi ili wengine tuwe aware ambao hatujawahi soma masomo ya kilimo kama wewe ulivyoanza?

Asante sana, ukiwa tayari nitafute tutazubgumza jinsi ya kuoatiana taarifa na ujuzi zaidi.
Karibu sana.
 
Ndugu Mamana
tunaomba utupe mrejesho (Update) za maendeleo ya greenhouse ya mfano pale nyumbani kwako, haswa haswa katika picha. Pia Mafanikio pamoja na changamoto zilizojitokeza kama zipo ili tujifunze zaid kabla ya kuingia.
 
UPDATE:::
Kwa wale mliokosa mahojiano yangu niliyofanya na Mtsimbe wa kipindi cha Amka na Badilika kinachorushwa na TBC1. Haya hapa



 
Last edited by a moderator:
Mkuu MamaNa , Binafsi nimefuatilia sana thread hii na familia yangu ilifuatilia kwa umakini kipindi kile;Nakupongeza sana kwa kushare na jamii mambo muhimu, hili ni jambo ambalo taifa letu limekuwa likikosa. Ila kuna jambo moja kuu lilikosekana --Je unaweza kutupa overview ya benefits and challenges ulizopitia (si unajua all roses have thorns) ; Ili mtu ajiandae , tafadhali share nasi ulivoanza--uliwekeza kiasi gani, ukakwama wapi, na wapi ulibreak through nk (just briefly) maana bado tuko gizani
 
To be honest tangu nijiunge JF. Nimekutana na thread I can say its fantastic! Very! Yaani kwa mara ya kwanza nakutana na wananchi wenzangu ambao hawalalamiki rather wanaangalia namna ya kujikomboa kiuchumi baada ya kulalamikia serikali hiki au kile..Inatia moyo kiukweli!

Mleta thread, keep it up and please usikatishwe tamaa na wale tuliowazoea. Do your things. Facts speak louder than words.

Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom