Jenerali Ulimwengu amepitwa na wakati; Huu sio muda wa harakati za kisiasa

Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Hivi mnafikiri vikao vilianzia duniani? Yani Mungu ambae ni perfect kwenye kila kitu siku anamuumba mwanadamu alikaa na kusema “ Na tumuumbe mtu kwa sura yetu na mfano wetu”. Maana yake alikaa kikao. Na siku ya kuamua nani aje kumkomboa mwanadamu akakaa kikao tena mbinguni. Na kuuliza “ Nimtume nani, naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu?”. Pia mwishoni kikao cha Mungu na viumbe vyote wakati anakitoa kitabu chenye mapigo saba ya mwisho. Kwa hiyo Mungu ni mjinga hata kuitisha kikao? Hasha lakini yupo asikiliza hekima ya viumbe wake. Je Samia ni nani asiyetaka ushauri?. Daudi anasema ushauri wa Ahitophel ulikua mzuri mno mpaka Daudi akaogopa mwanae atafanikiwa kwa sababu ya ushauri wake.
Acheni tuongee tuone namna ya kulivusha Taifa. Hamna suluhisho la matatizo yetu yote nyie wenyewe. Hata sisi tumebeba mbaraka na suluhisho la matatizo yetu kila mmoja la sivyo tusingalizaliwa Tanzania
 
Mawazo chanya? Hasi yatatoka wapi?

midahalo ikafanywe kwenye vyama vya kisiasa ili ichochee kuimarika kwa demokrasia.

kwenye taasisi za umma si muhimu sana kwani tayari madhara yake yalishaoneka. Vijana waliacha kusoma na kugeuka wanaharakati wa kuanzisha fujo na migomo vyuoni.

Kwa kipindi sasa tangu mambo ya midahalo kupoa, vyuo vimetulia tuli vijana wanasoma kwa utulivu.

Wazee watu wazima kizazi kiwewatupa mkono lakini bado wako driven na generation mindset ambazo si zao.

Wapuuzwe kwa heshima ili wasikwazike, tunawapenda sana .
Imbecile...
 
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Kweli, enzi za midahalo zimepita sasa ni uchawa mtindo mmoja kama ulivyo wewe
 
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Ni kweli, vijana wa siku hizi mko kwenye uchawa, kubeti na ushoga.
 
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!

Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za kugombana na mabeberu kama wendawazimu. Hizo zama zilishapita na tumevuka tuko kwenye nyakati za siasa tofauti kabisa.

Zama za kupiga blah blah na kudoea vijisenti vya maokoto. Hakuna matokeo yoyote zaidi ya soga tu.

Kama midahalo inaleta maendeleo, basi jenerali na wenzake wa enzi za mkoloni tungeona matunda yao.

Matunda waliyotuachia ni TOZO na Maji ya Vidimbwi. Midahalo hiyo.

Vijana wa sasa wako bize na mambo mengi. Kwanza hata wakiongea hawasilikilizwi. Wako bize wanasaka maokoto.

Huyu Jenerali na stori zake za kale za Nyerere atupishe. Muda wake umeshamtupa mkono anatamani kurudi nyuma aendeleze ubabaishaji wa midahalo ya TANU.

Na mwisho kabisa Mama anaupiga mwingi! Nani kama mama!

Midahalo ya kazi gani? Kila kitu kinaenda ipasavyo! Tukae tuanze kufoka foka na kupiga porojo tunapoteza muda.

Enzi za TANU zimeshapita. Hii ni Tanzania mpya, Tanzania ya Mama.

Kwako Jenerali na wafuasi wenzio wa mkoloni.
Halafu hata kwa kumtizama tu kwa macho anaonekana huyo Jenerali wenu ni mnafiki na mshambamshamba.
 
Back
Top Bottom