Mimi nnayo, JK alishinda kwa kishindo kwa asilimia zaidi ya 60! Unabisha? Hayo ndiyo matokeo ya kina ya kura za urais, ya ubunge siri yangu! Hahahaaaaa! Tanzania ina wenyewe na wenyewe ndiyo sisiem!
Labda rais alipigiwa @ national level tu, majimboni tulikuwa tunapiga kura za wabunge tuuu, bro Tanzania tamu sana kukaa tu na kufikiri vile mambo yanaenda unaweza tamani kupigana ili hali ibakie kuwa hivi tu na vituko visituisheUmewahi kufikiri hata ofisi ya Msajili wa vyama haijui matokeo ya kura za urais kwa kila jimbo.
Elewa swali kabla ya kujibu. Swali linauliza "Kuna anayejua matokeo ya kurauraisi kwa kila jimbo la uchaguzi?"Mimi nnayo, JK alishinda kwa kishindo kwa asilimia zaidi ya 60! Unabisha? Hayo ndiyo matokeo ya kina ya kura za urais, ya ubunge siri yangu! Hahahaaaaa! Tanzania ina wenyewe na wenyewe ndiyo sisiem!
hivi kibonde wa clouds kwanini asijifunze kutoka kwa jenerali ulimwengu?
kURA ZIPI ZILIZOCHAKACHULIWA?HIZI ZA UDIWANI JUZI AU?WAPINZANI WA BONGO MNA SAFARI NDEFU SANA AISEE,KILA KUKICHA WARSHA,MIAMSHO,MAKAONGAMANO N.K. LAKINI UKIJA UCHAGUZI WANANCHI WANAWAKATAA
Wakuu,
Nilipata fursa ya kuhudhuria kikao cha kutathmini mchakato wa APRM kilichoandaliwa na asasi ya kimataifa ya OSEA ktk hoteli ya Kilmanjaro DSM wiki hii.
Kikao hicho kiliwashirikisha vyama vyote vya siasa, ofisi ya msajili, Asasi za kiraia, wabunge, waandishi wa habari viongozi wakubwa wa serikalini, Maprofesa kutoka ndani na nje nk.
Kulikuwa na wasemaji kutoka ndani na nje ya nchi wakiwepo wabunge wajumbe wa APRM wa kwetu na kutoka nchi mbali mbali wakiwepo mmoja wa profesa kutoka ghana aliyewasilisha mada.
Kama kawaida kulikuwa mjadala mzito wengine wakisema kiwango cha utawala bora nchini kinaridhisha na wengine wakisema hakiridhishi.
Mmoja wa wasemaji jenerali Ulimwengu ktk dakika zake za mwisho alichafua hali ya hewa pale alipouliza swali lililoshindwa kujiwa na wote waliokuwemo ktk ukumbi huo.
Aliuliza, wakati tunapojadili utawala bora je, kuna mtu yeyote miongoni mwetu anayejua matokeo ya kura za urais za mwaka 2010 kwa kila jimbo ktk ukumbi huu?
Swali hilo lilibadilisha kabisa hali ya hewa humo ndani hata wale waliokuwa wanasema TZ kuna utawala bora walikaa kimya na wote tukatazamana.
Mwandishi moja akaendelea kuweka chumvi kwenye kidonda kwa kusema yeye alizitafuta na hakufanikiwa.
Hali hiyo ilimfanya mwongoza kipindi kumkaribisha msemaji wa OSEA kufunga mkutano huo ktk mazingira hayo yasiyo na jibu na swali hilo.
My take,
Naomba kutoa changamoto kama kuna mwanajf mwenye jibu la swali la Jenerali UlImwengu atupe kwa faida ya wanajf wote.
hivi kibonde wa clouds kwanini asijifunze kutoka kwa jenerali ulimwengu?
hivi kibonde wa clouds kwanini asijifunze kutoka kwa jenerali ulimwengu?
Umewahi kufikiri hata ofisi ya Msajili wa vyama haijui matokeo ya kura za urais kwa kila jimbo.
Ni kweli. Lakini limechelewa mno. Jenerali na sisi wengine tulikuwepo mwaka 2010 matokeo yalipotangazwa. Tatizo jingine kubwa ni KATIBA yetu ya sasa. Hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa Rais kuhojiwa na chombo chochote au yeyote yakishatangazwa na Tume ya Uchaguzi. Jenerali wetu anaweza kukamatwa akahojiwa kwa swali hili?Swali zuri sana