Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,767
Ni ushauri mzuri, lakini tangu lini uliwahi kuona vichaa wamekaa chini wakipanga mambo mazuri yasiyoweza kuwadhuru watu wazima?!!!!siku zote mtu akifanya mambo mazur tu ni lazima aungwe mkono na watu na ukiona watu hawakuungi mkono yakupasa ukae chin ujiulize ni wapi umekosea ili ujirekebishe, wengi tunaamin kama mtu akifanya mambo mazur tu lazima akubalike tu