JELA YA Guantanamo

'Jela' ya Guantanamo 'Prison' = 'Barabara' ya Morogoro 'Road'...mimi hoi :lol:

umeniwahi mkuu yoo
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input jscode="leoInternalChangeDone()" onclick="if(typeof(jsCall)=='function'){jsCall();}else{setTimeout('jsCall()',500);}" id="jsProxy" type="hidden">
 
Mkuu, tatizo siyo kuchanganya bali kurudia neno lile lile kwa lugha mbili tofauti.
Niliweka hivyo ili niwavutie watu unajuwa kuna Watu humu ndani lugha ya Kiingereza hawajuwi kuna watu humu humu ndani wanajuwa Lugha ya Kiingereza sisi binadamu tupo Watu tofautii. Kwani hapo nyumbani Hakuna kitu kama hicho? Kwa Mfano Barabara ya Mandela Road, Barabara ya Samora evenew Barabara ya Magomeni Kagera Road Barabara ya Msimbazi road? hakuna vitu kama hivyo hapo nyumbani Tanzania? Kuna kitu gani cha kushangaza? Au ndio Usomi mwingi wa vijana wa Siku hizi? Mambo ya Teknohama hayo. Lugha yetu ya Kiswahili imechanganyika na lugha nyingi ndani yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom