Kelvin Richard
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 123
- 85
Tungoje Mbowe akitwaa dola atalifanyia kazi suala hili bila ya kupepesa macho.Mahiga anabung'aa tu.
Watajengaje ukuta ziwani hili ziwa Lina kina kirefu lipo bonde LA ufaKwanini rais asiwaamuru JKT wajenge ukuta ili tuwe na letu na Malawi wabaki na lao permanent.
Wajenge ukuta wa maboya ya plastik ya kuelea ha ha haWatajengaje ukuta ziwani hili ziwa Lina kina kirefu lipo bonde LA ufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe vita havina nchi ndogna Israel ilivyo ndogo kuliko Mwanza na Tabora jinsi hata wamarekani wanawagwaya.Ona Korea kaskazini ilivyo ndogo lakini angalau inamtoa kamasi Bush
Vyovyote utakavyo search mkuuu mpaka haupo katikati kama maziwa mengine.Wamalawi huliita ziwa Malawi hivyo kama umesearch ramani ya Malawi lazima lije kwa jina lao.
Hilo ziwa wakilichukua ni mwanzo wa vita ya III ya dunia.
Vietnam ni nchi ndogo lakini wamarekani walitolewa mkuku.Wewe vita havina nchi ndogna Israel ilivyo ndogo kuliko Mwanza na Tabora jinsi hata wamarekani wanawagwaya.Ona Korea kaskazini ilivyo ndogo lakini angalau inamtoa kamasi Bush
Sent using Jamii Forums mobile app
Vietnam ni nchi ndogo lakini wamarekani walitolewa mkuku.Wewe vita havina nchi ndogna Israel ilivyo ndogo kuliko Mwanza na Tabora jinsi hata wamarekani wanawagwaya.Ona Korea kaskazini ilivyo ndogo lakini angalau inamtoa kamasi Bush
Sent using Jamii Forums mobile app