William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Eric,
Acha kupayuka ovyo, Zitto kakosa uhalai wa kuwa kiongozi kwa mujibu wa kifungu gani cha katiba yenu? acha blah blah umemwaga pumba tupu, kajipange uje upya au mwambieni baba mkwe amvue uanachama kabisa.
Philemon,
Eric Ongara mwanachadema (sijui ana cheo gani huko ) amekuja na shutuma na kumwaga matusi ya nguoni kwa Zitto. Huu ni muendelezo wa mashambulizi ya viongozi wa kada mbalimbali wa Chadema kwa Zitto.
Katika hali kama hii Zitto akijibu anaambiwa anavujisha siri! kakosa uhalali wa uongzozi nk.
Doule standards!
- Mkuu Masatu heshima mbele, toka jana nimekuwa nikizuiwa kuingia kutoa mawazo yangu kama yako kwa sababu sikubali mawazo ya mkubwa mmoja, wewe mkubwa I hope unazo nguvu kweli,
- Maana kama ni hizo nguvu uwe nazo kila kona sio JF tu! kwa sababu na wengine tunazo sehemu zingine ambazo huna, sasa it is only a matter of time!, hii ni mara ya pili unacheza huu mchezo, wewe umeanza kuna siku na mimi nitamalizia, ili nione kama kweli unazo hizo nguvu kila kona! That is a promise!
Respect.
Field Marshall Es!