....kuna juhudi ya dhati ya kubagua section ya watanzania..huu ni ubaguzi...wewe fikiria imefikia mahali watu wanaoogopa vivuli ..viongozi wakubwa kabisa wamefikia mahali ..wanapita baadhi ya maeneo hasa ya pwani wakiwahuburia wazee wao wasiwauzie watanzania wenzao ardhi au tuseme kuzuia kuwakaribisha....kinyume cha katiba ya nchi waliyoapa kuilinda inayosema kuwa watanzania wana freedom of movement....chuki hii inaazia juu....hawa ni wafuasi tu kwa kile kilichojificha kwa wanaowatuma...kwa kujuwa au kutojuwa!!
Haya yote nimeyasikia na ndio maana mimi huwapiga nondo kali sana wale wote wenye chuki za kidini na kikabila hapa jamvini. Kuna sehemu hapo pwani huwezi kununua kiwanja kama wewe ni mkiristo au kabila fulani.
Watu inabidi sasa wanatumia wakazi wa Pwani kuwanunulia viwanja maana wao pekee hawawezi kupewa (kutokana na maagizo ya kijinga toka kwa watu wasioitakia mema Tanzania).
Kazi kweli kweli