commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
wana JF,takriban miaka saba imetimia tangu tukio la mtu mmoja alipomvamia ghafla Mh JK,katika uwanja wa CCM kirumba kutoka jukwaani alipokuwa akihutubia umati wa wana CCM katika kapeni ambazo hatimae zilimuingiza ikulu.
Yule bwana alidhibitiwa na vyombo vya usalama na baadae kuhukumiwa kifungo na alitumikia na sasa nina imani kuwa ni raia huru ingawa sina uhakika na uwepo wake.
My take hapa ni kwamba yule bwana hakuweza kutafutwa walau na chombo chochote cha habari ili walau aweze kuulizwa na kusema nini ilikuwa dhamira yake na je ni maono gani alikuwa ameyaona kwa mtazamo wake labfda wengi tungeweza kuwa na uhakika.tofauti tulivyoaminishwa kuwa alikuwa na matatizo ya akili.
Yule bwana alidhibitiwa na vyombo vya usalama na baadae kuhukumiwa kifungo na alitumikia na sasa nina imani kuwa ni raia huru ingawa sina uhakika na uwepo wake.
My take hapa ni kwamba yule bwana hakuweza kutafutwa walau na chombo chochote cha habari ili walau aweze kuulizwa na kusema nini ilikuwa dhamira yake na je ni maono gani alikuwa ameyaona kwa mtazamo wake labfda wengi tungeweza kuwa na uhakika.tofauti tulivyoaminishwa kuwa alikuwa na matatizo ya akili.