Je wewe ni mojawapo?

GMBDC

Member
Aug 13, 2012
14
0
Kumekuwa na ongezeko kubwa la simu zisizokidhi viwango vya ubora hivyo
kusababisha majanga (ajali) wakati wa matumizi wa simu hizo.

Je umewahi kununua simu ukapatwa na tatizo kama kulipuka ikiwa mfukoni
kwenye charger ama wakati wa kupokea simu, n.k?

Tufahamishe ni simu aina gani, model gani, na ni ajali ya namna gani ulipatwa
kwa kutuma ujumbe wenye mririko ufuatao.

ajali*aina ya simu*model ya simu*aina ya ajali kisha tuma kwenda 15568

mfano: ajali*Nokia*X2-01*simu ililipuka wakati naongea na simu. kisha tuma kwenda

15568. Kwa sasa huduma hii inapatikana TIGO na VODACOM pekee ni matarajio yetu hadi
mwisho wa wiki tutakua tayari na mitandao yote.

Ili tuweze kupata taarifa za uhakika na sahihi please usitume ujumbe kama hujawahi kupata hilo tatizo
tunaomba ushirikiano wenu. kwa maoni tuma email: info@gmconsultz.com
 
Mkuu, Naunga mkono maana naamini kukiwa na taarifa ambazo ni za uhakika wananchi wanaweza kuambiwa kwa uhakika
ni simu gani ni hatari au hata regulators (TCRA na TBS) wanaweza kufuatilia kwa karibu zaidi.

Lakini tutapataje feedback ama research yenu ikiisha basi?
 
Mkuu Kichakoro,

Tunatarajia kutoa press release kila miezi 3 na kama kutakua na cases nyingi everymonth. Lakini pia tutashauriana na Regulator wa simu namna bora ya kufanya ili public iweze kupata right information. Pia tunatarjia kuwa na website ama blog ambayo itakua inaonyesha hata picha ya hizo ajali zilizotokea.
 
Je msg moja kwenda hiyo namba (15568) inaghalimu tsh ngapi?, Ni vyema ukatujulisha.

Naushukuru kwa swali. garama ni TZS 250 hakuna promotional msg wala hiden cost yaani inatozwa mara moja tu.
 
Back
Top Bottom