mashami
Senior Member
- May 8, 2012
- 183
- 27
mara nyingi tumekuwa watetezi wa CHADEMA humu jukwaani na popote magamba wanapojaribu kupotosha ukweli...,.je wewe ni mwanachama halali na unatimiza wajibu wa uwanachama?
hebu tufungukeni apa!
MIMI NI MWANACHAMA WA CHADEMA NO.CDM 0545322 TAWI LA KIMANDOLU
ARUSHA.
hebu tufungukeni apa!
MIMI NI MWANACHAMA WA CHADEMA NO.CDM 0545322 TAWI LA KIMANDOLU
ARUSHA.