Natafuta mtu anayeweza kufanya ubunifu wa kienyeji kutengeneza FM Radio transmitter kwa ajili ya kutengeneza kituo cha Radio cha jamii na kuweza kurusha matangazo kwa umbali wa kilomita kati ya 50-80. Baada ya transmitter na Antena kufungwa na kufanyakazi, taratibu zote za kiserikali kuomba vibali vitapatikana.
Hii ni nafasi pekee ya wabunifu ili kuionyesha jamii kuwa watanzania tunaweza bila kutegemea vifaa aghali kutoka nje ya nchi. Vifaa vingine km mixer, mic, vipo. Km ni wewe ni PM, nipe email au km wamjua mbunifu basi nitumie mawasiliano yake nitamtafuata.
Hii ni nafasi pekee ya wabunifu ili kuionyesha jamii kuwa watanzania tunaweza bila kutegemea vifaa aghali kutoka nje ya nchi. Vifaa vingine km mixer, mic, vipo. Km ni wewe ni PM, nipe email au km wamjua mbunifu basi nitumie mawasiliano yake nitamtafuata.