Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Katika mwili wa binadamu tunavyojitambua kuna kitu ambacho kimepewa majina mengi? Kama huelewi basi hembu angalia hapa chini uone ni kitu gani haswa ni kwa wanaume na baadhi kwa wakina mama.
- Ndevu.
- Mustach.
- Sharubu.
- Nyusi.
- Mav***zi.
- Love garden (Nywele za Kwenye kifua).
- Mzuzu.
- Nywele.
- Vinyweleo.