johnshedo Member Aug 22, 2013 98 6 Sep 18, 2014 #1 Kutokana na matambo mengi vya Vyuo je Wengi humu wapo au walisoma Vyuo gan heb tupia Chuo chako hapa.. 😳
Kutokana na matambo mengi vya Vyuo je Wengi humu wapo au walisoma Vyuo gan heb tupia Chuo chako hapa.. 😳
johnshedo Member Aug 22, 2013 98 6 Sep 18, 2014 Thread starter #4 Hahah.. Mm Nipo NIT tuu wala sipo kwa wapenda sifa..
ONTARIO JF-Expert Member Oct 16, 2013 1,885 17,018 Sep 18, 2014 #7 Kwani chuo cha vipanga hakijulikani...???
johnshedo Member Aug 22, 2013 98 6 Sep 18, 2014 Thread starter #8 ONTARIO said: Kwani chuo cha vipanga hakijulikani...??? Click to expand... Mbona hakijulikan hicho mkuu
ONTARIO said: Kwani chuo cha vipanga hakijulikani...??? Click to expand... Mbona hakijulikan hicho mkuu
Usedcountrynewpipo JF-Expert Member Aug 1, 2012 3,638 2,720 Sep 18, 2014 #10 Ha ha ha! Utanuniwa na wana MMU! wengine wamesoma kwa kuunga unga mpaka bac. Wacha tu watambe.
johnshedo Member Aug 22, 2013 98 6 Sep 18, 2014 Thread starter #12 vvm said: road 2 udsm Click to expand... Hahahah nyie mnaokimbilia Udsm mnalewa Sifa sana shaur yako..
vvm said: road 2 udsm Click to expand... Hahahah nyie mnaokimbilia Udsm mnalewa Sifa sana shaur yako..
KAGAMEE JF-Expert Member Dec 20, 2013 3,886 4,514 Sep 18, 2014 #13 Appreciation to my university(UDOM)
Erick zeph Stanley JF-Expert Member Apr 25, 2013 647 72 Sep 18, 2014 #15 nasoma degree ya kwanza VETA kwani vipi?
KikulachoChako JF-Expert Member Jul 21, 2013 18,146 32,938 Sep 18, 2014 #16 UNIVERSITY OF LOVE SCIENCE AND WOMANIZATION........nataka nijikite zaidi kwenye somo la kuzama chumvini...
UNIVERSITY OF LOVE SCIENCE AND WOMANIZATION........nataka nijikite zaidi kwenye somo la kuzama chumvini...
Jaslaws JF-Expert Member May 31, 2011 6,016 5,285 Sep 18, 2014 #18 Idnt care bwt xkul moneyfirst hustles college..!!
al-bauly JF-Expert Member Aug 27, 2014 343 108 Sep 18, 2014 #20 Mwaka wa kwanza nlisoma UDSM wa pili nkatupia MUHAS wa tatu nkaona nende ARDHI na mwaka wa 4 nkawepo UDOM na sasa namalizia wa 5 DIT ww je mkuu?
Mwaka wa kwanza nlisoma UDSM wa pili nkatupia MUHAS wa tatu nkaona nende ARDHI na mwaka wa 4 nkawepo UDOM na sasa namalizia wa 5 DIT ww je mkuu?