Je wajua, Turkmenistan inaruhusu magari meupe tu?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,016
9,885
1703914302915.png
Rais wa pili wa Turkmenistan, Gurbanguly Berdimuhamedow aliyetawala nchi hiyo tangu 2006 hadi 2022 aliamrisha watu kuagiza magari meupe tu na sio ya rangi nyingine. Nchi hii iko Asia ya kati (Central Asia)

Rangi nyingine zilizuiwa bila kutoa sababu huku maafisa wa forodha wakisema kuwa rangi nyeupe ni rangi ya bahati. Rais Gurbanguly Berdimuhamedov alianza kutumia msafara wa magari meupe kusafiri kwenye matukio ya umma, na karibu maafisa 160 wa ngazi ya juu, ikiwa ni pamoja na wakuu wa vyombo vya habari vya nchi, haraka wakafuata nyayo, kulingana na shirika la habari la RIA Novosti la Urusi mwezi wa Septemba 2014.

Sheria za rangi ni mojawapo tu kwenye orodha ndefu ya sheria, ambayo ni pamoja na marufuku ya uingizaji wa magari ya meupe, magari ya kifahari, na magari yenye namba za usajili zilizobinafsishwa au madirisha yenye tinted.

Watu wa Turkmenistan wamezoea vizuizi vya ajabu katika maisha yao ya kila siku, ambavyo mara nyingi inaonekana kama vimeletwa kwa mapenzi ya rais. Mnamo mwaka wa 2014, wakazi wa mji mkuu, Ashgabat, walipinga baada ya mamlaka kuamuru kuondoa air conditions kwenye majengo ili kuboresha muonekano wa jiji. Serikali pia imekuwa ikitumia mabilioni ya dola kurekebisha mji mkuu kuwa "mji mweupe" kwa kufunika majengo yote makubwa na marumaru.
 
Rais wa pili wa Turkmenistan, Gurbanguly Berdimuhamedow aliyetawala nchi hiyo tangu 2006 hadi 2022 aliamrisha watu kuagiza magari meupe tu na sio ya rangi nyingine. Nchi hii iko Asia ya kati (Central Asia)

Rangi nyingine zilizuiwa bila kutoa sababu huku wmaafisa wa forodha wakisema kuwa rangi nyeupe ni rangi ya bahati. Rais Gurbanguly Berdimuhamedov alianza kutumia msafara wa magari meupe kusafiri kwenye matukio ya umma, na karibu maafisa 160 wa ngazi ya juu, ikiwa ni pamoja na wakuu wa vyombo vya habari vya nchi, haraka wakafuata nyayo, kulingana na shirika la habari la RIA Novosti la Urusi mwezi wa Septemba 2014.

Sheria za rangi ni mojawapo tu kwenye orodha ndefu ya sheria, ambayo ni pamoja na marufuku ya uingizaji wa magari ya meupe, magari ya kifahari, na magari yenye namba za usajili zilizobinafsishwa au madirisha yenye tinted.

Watu wa Turkmenistan wamezoea vizuizi vya ajabu katika maisha yao ya kila siku, ambavyo mara nyingi inaonekana kama vimeletwa kwa mapenzi ya rais. Mnamo mwaka wa 2014, wakazi wa mji mkuu, Ashgabat, walipinga baada ya mamlaka kuamuru kuondoa air conditions kwenye majengo ili kuboresha muonekano wa jiji. Serikali pia imekuwa ikitumia mabilioni ya dola kurekebisha mji mkuu kuwa "mji mweupe" kwa kufunika majengo yote makubwa na marumaru.

View attachment 2856778
Huyu ndiye rais ambaye ni msanii huwa anatoa single anawaimbia mawaziri na lazima waonyeshe kufurahia.
Nchi hik ndiyo ye ye the gate of hell ambapo gas ilikuwa inavuja wakaja eti solution wawashe moto basi huo moto haujawahi kuzima mpaka leo
 
Rais wa pili wa Turkmenistan, Gurbanguly Berdimuhamedow aliyetawala nchi hiyo tangu 2006 hadi 2022 aliamrisha watu kuagiza magari meupe tu na sio ya rangi nyingine. Nchi hii iko Asia ya kati (Central Asia)

Rangi nyingine zilizuiwa bila kutoa sababu huku maafisa wa forodha wakisema kuwa rangi nyeupe ni rangi ya bahati. Rais Gurbanguly Berdimuhamedov alianza kutumia msafara wa magari meupe kusafiri kwenye matukio ya umma, na karibu maafisa 160 wa ngazi ya juu, ikiwa ni pamoja na wakuu wa vyombo vya habari vya nchi, haraka wakafuata nyayo, kulingana na shirika la habari la RIA Novosti la Urusi mwezi wa Septemba 2014.

Sheria za rangi ni mojawapo tu kwenye orodha ndefu ya sheria, ambayo ni pamoja na marufuku ya uingizaji wa magari ya meupe, magari ya kifahari, na magari yenye namba za usajili zilizobinafsishwa au madirisha yenye tinted.

Watu wa Turkmenistan wamezoea vizuizi vya ajabu katika maisha yao ya kila siku, ambavyo mara nyingi inaonekana kama vimeletwa kwa mapenzi ya rais. Mnamo mwaka wa 2014, wakazi wa mji mkuu, Ashgabat, walipinga baada ya mamlaka kuamuru kuondoa air conditions kwenye majengo ili kuboresha muonekano wa jiji. Serikali pia imekuwa ikitumia mabilioni ya dola kurekebisha mji mkuu kuwa "mji mweupe" kwa kufunika majengo yote makubwa na marumaru.

View attachment 2856778
Hii inasaidia kushusha bei ya Sukari? Africa si bure tunafananishwa na nyani.
 
Rais wa pili wa Turkmenistan, Gurbanguly Berdimuhamedow aliyetawala nchi hiyo tangu 2006 hadi 2022 aliamrisha watu kuagiza magari meupe tu na sio ya rangi nyingine. Nchi hii iko Asia ya kati (Central Asia)

Rangi nyingine zilizuiwa bila kutoa sababu huku maafisa wa forodha wakisema kuwa rangi nyeupe ni rangi ya bahati. Rais Gurbanguly Berdimuhamedov alianza kutumia msafara wa magari meupe kusafiri kwenye matukio ya umma, na karibu maafisa 160 wa ngazi ya juu, ikiwa ni pamoja na wakuu wa vyombo vya habari vya nchi, haraka wakafuata nyayo, kulingana na shirika la habari la RIA Novosti la Urusi mwezi wa Septemba 2014.

Sheria za rangi ni mojawapo tu kwenye orodha ndefu ya sheria, ambayo ni pamoja na marufuku ya uingizaji wa magari ya meupe, magari ya kifahari, na magari yenye namba za usajili zilizobinafsishwa au madirisha yenye tinted.

Watu wa Turkmenistan wamezoea vizuizi vya ajabu katika maisha yao ya kila siku, ambavyo mara nyingi inaonekana kama vimeletwa kwa mapenzi ya rais. Mnamo mwaka wa 2014, wakazi wa mji mkuu, Ashgabat, walipinga baada ya mamlaka kuamuru kuondoa air conditions kwenye majengo ili kuboresha muonekano wa jiji. Serikali pia imekuwa ikitumia mabilioni ya dola kurekebisha mji mkuu kuwa "mji mweupe" kwa kufunika majengo yote makubwa na marumaru.

Ni bora x 1000, kuliko kuwalipa Wabunge 19 Fake🤣🤣🤣🤣🙃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Rais wa pili wa Turkmenistan, Gurbanguly Berdimuhamedow aliyetawala nchi hiyo tangu 2006 hadi 2022 aliamrisha watu kuagiza magari meupe tu na sio ya rangi nyingine. Nchi hii iko Asia ya kati (Central Asia)

Rangi nyingine zilizuiwa bila kutoa sababu huku maafisa wa forodha wakisema kuwa rangi nyeupe ni rangi ya bahati. Rais Gurbanguly Berdimuhamedov alianza kutumia msafara wa magari meupe kusafiri kwenye matukio ya umma, na karibu maafisa 160 wa ngazi ya juu, ikiwa ni pamoja na wakuu wa vyombo vya habari vya nchi, haraka wakafuata nyayo, kulingana na shirika la habari la RIA Novosti la Urusi mwezi wa Septemba 2014.

Sheria za rangi ni mojawapo tu kwenye orodha ndefu ya sheria, ambayo ni pamoja na marufuku ya uingizaji wa magari ya meupe, magari ya kifahari, na magari yenye namba za usajili zilizobinafsishwa au madirisha yenye tinted.

Watu wa Turkmenistan wamezoea vizuizi vya ajabu katika maisha yao ya kila siku, ambavyo mara nyingi inaonekana kama vimeletwa kwa mapenzi ya rais. Mnamo mwaka wa 2014, wakazi wa mji mkuu, Ashgabat, walipinga baada ya mamlaka kuamuru kuondoa air conditions kwenye majengo ili kuboresha muonekano wa jiji. Serikali pia imekuwa ikitumia mabilioni ya dola kurekebisha mji mkuu kuwa "mji mweupe" kwa kufunika majengo yote makubwa na marumaru.

View attachment 2856778
Duh
 
Back
Top Bottom