mbweleko
Senior Member
- Oct 31, 2009
- 158
- 29
Akiwa hai inakusaidia nini wewe Mtanzania wa Tandale? Yaani wewe umejiunga humu JF leo hii na post ya kwanza tu unakimbilia kuweka ufu na uhai wa Osama, hata hujaonyeshwa choo cha humu JF kipo wapi! Bisha hodi kwanza, subiri ukaribishwe, tumia masaa kadhaa kulijua jukwaa na tools zake, tumia walau siku tatu kusoma watu uliojiunga nao wakoje kiuelewa. Sio unatoka kuazima gazeti la "risasi mchanganyiko", unaona habari na kukimbilia kujiunga JF. Jukwaa hili ni la wasomi, wapuuzi wachache hawawezi kukosekana, utawajua tu ukitulia. baada ya hapo ndipo ujue kama hili jukwaa ni la kiwango chako au maji marefu. Kama vipi nenda kaweke hizo news FB na GPL.
Dah,safi mkuu kwa kuweka hii kitu wazi...kuna watu wanaleta udaku wa ajabu na kuulazimisha kuwa habari ya uhakika!!