Inawezekana na kubaki kununulia magari ya kubebea wagonjwa. Na salio dogo linaweza kutumika kujenga vyoo Mwanza. Tatizo ni upeo mdogo wa Bwana Kinana na Makamba... hivi shule walisoma wapi jamani? Kauli zao ni kama za watoto wa Shule za Msingi.
Inawezekana na kubaki kununulia magari ya kubebea wagonjwa. Na salio dogo linaweza kutumika kujenga vyoo Mwanza. Tatizo ni upeo mdogo wa Bwana Kinana na Makamba... hivi shule walisoma wapi jamani? Kauli zao ni kama za watoto wa Shule za Msingi.