ChingaMzalendo
Senior Member
- Nov 9, 2008
- 192
- 3
Tangu nchi yetu ipate uhuru, wengi wa viongozi waliomadarakani kwa sasa ni wale wale. kwa namna moja au nyingine wamekuwa wabidalishana vyeo kana kwamba Tanzania ni mali yao binafsi.
Wameanza kuwaandaa wanao ili watakapotoka madarakani waendeleze ufisadi na uongozi wa nchi. Watanzania tumechoka na tunataka mabadiliko.
Wapo vijana wengi safi wenye vipaji na uwezo wa kuongoza, mbali na January, Dr. Shayo na Mashaka, wapo vijana wengi ambao wapo nyumbani Tanzania na ughaibuni tunaoweza kuwashirikiashakatika kutafuta namna ya kulikomboa taifa letu dhidi ya UFISADI
Wadau na wana JF nadhani muda umefika kwetu sisi kutafakari mustakabali wa nchi yetu na kuanzisha chama chetu cha vijana ili kulikomboa taifa. Nadhani hata 2010 tunaweza kufanikiwa kuliko kuwaachia wakina Rostam Aziz ambao wameligeuza nchi kama mali zao. Wadau Tujadili ili swala kwa umakini ili tutafute namna mapema.
Haya yote yanakuja kutokana na ukweli kwamba, tumechoka, na hatutaki taifa letu kufikia hatua ya kuingia pabaya, hasa ukizingatia mambo yanakoelekea. Binadamu anapokuwa hana namna, analazimika kufikiri ili kutatua matatizo yake kwani mafisadi wanatulazimisha kuchukua sheria mikononi mwetu
Wameanza kuwaandaa wanao ili watakapotoka madarakani waendeleze ufisadi na uongozi wa nchi. Watanzania tumechoka na tunataka mabadiliko.
Wapo vijana wengi safi wenye vipaji na uwezo wa kuongoza, mbali na January, Dr. Shayo na Mashaka, wapo vijana wengi ambao wapo nyumbani Tanzania na ughaibuni tunaoweza kuwashirikiashakatika kutafuta namna ya kulikomboa taifa letu dhidi ya UFISADI
Wadau na wana JF nadhani muda umefika kwetu sisi kutafakari mustakabali wa nchi yetu na kuanzisha chama chetu cha vijana ili kulikomboa taifa. Nadhani hata 2010 tunaweza kufanikiwa kuliko kuwaachia wakina Rostam Aziz ambao wameligeuza nchi kama mali zao. Wadau Tujadili ili swala kwa umakini ili tutafute namna mapema.
Haya yote yanakuja kutokana na ukweli kwamba, tumechoka, na hatutaki taifa letu kufikia hatua ya kuingia pabaya, hasa ukizingatia mambo yanakoelekea. Binadamu anapokuwa hana namna, analazimika kufikiri ili kutatua matatizo yake kwani mafisadi wanatulazimisha kuchukua sheria mikononi mwetu