4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,773
- 10,533
Ndio mkuu na ushahidi ninaodualis inapasuka dashboard mkuu?
Ndio mkuu na ushahidi ninaodualis inapasuka dashboard mkuu?
Hivi aqua zote ni hybrid?Hii gari ndo itatawala Sana soko mda si mrefu
Nahisi hivyo not sureHivi aqua zote ni hybrid?
NotedNahisi hivyo not sure
Hybrid inamaana ganHivi aqua zote ni hybrid?
Na fire blanketUkinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3
Inazalisha umeme kwa kutumia generator ndogo na kuihifadhi kwenye battery tofauti na ile ya kupigia starter na inatumia pia mafuta at the same time hivyo zinakuwa hazili wese sanaHybrid inamaana gan
Nimeona pia Discovery za kutosha namba E. Wenye hela naona wameamua sasa kununua "high-end cars"
VizurInazalisha umeme kwa kutumia generator ndogo na kuihifadhi kwenye battery tofauti na ile ya kupigia starter na inatumia pia mafuta at the same time hivyo zinakuwa hazili wese sana
Ndio kutokana na mafundi wetu wa Kibongo kuunga unga nyaya za taa za booster na android zinaishia kuungua... Niliwahi kumiliki dualis hadi nauza ilikuwa fresh tu .. uwe na fundi wa uhakika .. ikitokea fault tumia diagnostic machine ku scan kwanza usiruhusu fundi aendelee bila ku scan .. ulaji wa mafuta pia ulikuwa mzuri .. niliuza sababu familia iliendelea kwa kubwa ..Upo serious?
Sio rahisi kihivyoBabu yetu toyota anagwa taratibu.
Yeah, ukiangalia mtandaoni bei yake ya kizalendo kabisa. Ila sijui kuhusu maintanance yake maana chuma ni chuma kweli, v6, cc 3100Volkswagen touareg gari moja sio ghali sana na imetulia kinoma
Kuna hii Mistubishi RVR, aisee...Bila kusahau suzuki na mitstubish outlander
Hao ni watu sema kibongo Bongo tunakariri tu zile brand zilizozoeleka mfano Peugeot mpaka ssa watu wanaziogopa ila zimesimama piaKuna hii Mistubishi RVR, aisee...
Huwa naitamani sana VW Tiguan, Ila hii RVR inataka kunibadili upepo...
Ndio kutokana na mafundi wetu wa Kibongo kuunga unga nyaya za taa za booster na android zinaishia kuungua... Niliwahi kumiliki dualis hadi nauza ilikuwa fresh tu .. uwe na fundi wa uhakika .. ikitokea fault tumia diagnostic machine ku scan kwanza usiruhusu fundi aendelee bila ku scan .. ulaji wa mafuta pia ulikuwa mzuri .. niliuza sababu familia iliendelea kwa kubwa ..
Sure, kwa sasa huu upepo wa forester na dualis ni kisanga...Hao ni watu sema kibongo Bongo tunakariri tu zile brand zilizozoeleka mfano Peugeot mpaka ssa watu wanaziogopa ila zimesimama pia
Uko sahihi kwa asilimia 💯IST bei imepanda sokoni lakini sababu kubwa ni kwamba hamna mnunuaji wa IST anaingia showroom saivi.
Wengi wanazinunua mtaani ambako IST zimenyooka, uzuri watumiaji IST wa namba D wengi huyatunza magari yao ni nadra sana kuikuta IST haifai imechoka hii inapelekea wanaotaka yamiliki IST wayapate kwa bei rahisi mtaani.
ukiwa na 10m-13m unapata IST imenyoooka kwa uzuri wa macho hata ya showroom haikuti.
Wakat showroom bila 17m kwenda mbele hulambi IST
Kweli mkuu, afu hivi unajua ukiachana na forester kuna mnyama outback nae si poa wakenya wapo bongo ndio nimewaona nazo sana.Sure, kwa sasa huu upepo wa forester na dualis ni kisanga...
Ila ndo anaagwa hivyo, watu wanatoka kwenye IST na kuhamia kwenye dualis... ist za namba E ni chache sana...Sio rahisi kihivyo
Kuna hii Mistubishi RVR, aisee...
Huwa naitamani sana VW Tiguan, Ila hii RVR inataka kunibadili upepo...