Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

Upo serious?
Ndio kutokana na mafundi wetu wa Kibongo kuunga unga nyaya za taa za booster na android zinaishia kuungua... Niliwahi kumiliki dualis hadi nauza ilikuwa fresh tu .. uwe na fundi wa uhakika .. ikitokea fault tumia diagnostic machine ku scan kwanza usiruhusu fundi aendelee bila ku scan .. ulaji wa mafuta pia ulikuwa mzuri .. niliuza sababu familia iliendelea kwa kubwa ..
 
Ndio kutokana na mafundi wetu wa Kibongo kuunga unga nyaya za taa za booster na android zinaishia kuungua... Niliwahi kumiliki dualis hadi nauza ilikuwa fresh tu .. uwe na fundi wa uhakika .. ikitokea fault tumia diagnostic machine ku scan kwanza usiruhusu fundi aendelee bila ku scan .. ulaji wa mafuta pia ulikuwa mzuri .. niliuza sababu familia iliendelea kwa kubwa ..

Kwenye wese haipishani sana na ist?
Ulihamia chuma gani mkuu maana dualis ina 5 seats
 
IST bei imepanda sokoni lakini sababu kubwa ni kwamba hamna mnunuaji wa IST anaingia showroom saivi.

Wengi wanazinunua mtaani ambako IST zimenyooka, uzuri watumiaji IST wa namba D wengi huyatunza magari yao ni nadra sana kuikuta IST haifai imechoka hii inapelekea wanaotaka yamiliki IST wayapate kwa bei rahisi mtaani.

ukiwa na 10m-13m unapata IST imenyoooka kwa uzuri wa macho hata ya showroom haikuti.

Wakat showroom bila 17m kwenda mbele hulambi IST
Uko sahihi kwa asilimia 💯
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-09-27 at 11.38.39 AM.jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-27 at 11.38.39 AM.jpeg
    156.3 KB · Views: 6
Back
Top Bottom