Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,298
- 5,460
- Thread starter
- #41
Kumbuka hapo kwa Nyegezi stendi kuna maslahi ya wilaya ya Nyamagana na kule Nyamhongolo pia ni kitega uchumi cha ilemela, lazima halmashauri mpya ianzishe stendi zake japo lazima ziwe ndogo ndogo ili vituo vikuu vibakie hivyo hivyo vilivyopo hili wasiingiliane kimaslahi.Kwanza stand haikutakiwa nyegez, wangeiweka usagara,, then waweke manispaa ingine kisesa,,