Hakika nikikumbuka mambo hayo huwa ninamlilia Hayati Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Alikuwa mzalendo mpenda nchi na wananchi wake. Viongozi wa sasa ni zero, hakuna kitu.
Hakika nikikumbuka mambo hayo huwa ninamlilia Hayati Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Alikuwa mzalendo mpenda nchi na wananchi wake. Viongozi wa sasa ni zero, hakuna kitu.
Hivi viwanda vilikuwa vianendshwa na walipa kodi, kila mwaka vina- Bail out na serikali, havikuleta faida kwa sababu ya ufisadi uliofanyika walikuwa wanalindwa na Mwlm Nyerere, pia uungilio wa siasa ulichangia kuuwa viwanda
Viwanda hivi vilikuwa mzigo mkubwa kwa wananchi, ilitubidi tulipe kodi ya kichwa kwa kila mtanzania ili tuweze kunusuru viwanda.
Kiwanda cha Magunia (Tanzania Bag) -Moshi
Kiwanda cha Ngozi (Tanaries)- Moshi
Kiwanda cha Vipuri vya mashine (Mashine Tools)- Moshi
Kweli inasikitisha sana...! Vyote hivi vimekufa kabisa hakuna hata majengo yake tena....!
Wana jf leo nataka kuwakumbusheni ya viwanda ambavyo vilifanya kazi kwa ufanisi ila vikafa kama Tameco,Ufi,ZZK,SUNGURA TEX,TANGANYIKA Packars,je tatizo lilikuwa wapi?na tunashindwa kuvifufua