wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Hahaa pale oljoro mimi nilikuwa nadoji naenda kujificha zizini kwa ng'ombe hirani pale kwa mzee lyasejo kama unaenda farming kutoka bwaloni kule chini c.t.sWale wa Makutupora na Ol joro.....
Hahaa pale oljoro mimi nilikuwa nadoji naenda kujificha zizini kwa ng'ombe hirani pale kwa mzee lyasejo kama unaenda farming kutoka bwaloni kule chini c.t.sWale wa Makutupora na Ol joro.....
binafsi nakumbuka sana nkiwa 834kj makutupora jkt operesheni kikwete awamu ya tatu mwaka 2015 tulikamatwa usiku tukiwa tumelala hangani wenzetu wakiwa mkesha kiukweli doso tulilopewa na ma MP kila nkikumbuka huwa naumia roho kuna wenzetu baadhi walilazwa
Kumbuka sana kitengo na chokaa,kitengo magogo.Mi namiss usawa wa gudulia.
Namiss chenja-nyimbo za jioni
namiss mistin yangu
namiss kusenya kuni burombora
Weka chenjaHivi op maisha bora wapo humu?
Kumbuka sana kitengo na chokaa,kitengo magogo.
Chenja??Weka chenja
Hahaha ha ha tulikua pamoja unakumbuka afande koboko daaah Hatariiii sananimepi
nimepita hapo OP MUUNGANO hatari sanaaaa
Nahic ww ni wa OP moja na mm maana hao maafande wote nawajua vizuri je unmkumbuka INKYA anavyolala chini kuangalia km mguu umeinuka wkt w kunyakua?umenikumbusha mbali nkya na alloys ni noma hasa kipindi cha pori mlima nguruwe na kuzima moto msitu sao hill
Mimi nakumbuka nilichelewa kuriport kambini Makutupora,nilipofika nikaambiwa ahaa umechelewa eennh,ok anza kupiga pasi,nikashangaa,ndio mmoja wa kuruta akaniambia bro vua nguo zako uanze kuzikanyaga kanyaga mpaka ziwe flat,daah nilibaki na chupi ya V.I.P huku nikipiga mark time hadi nguo nilizovua zikawa flat,hapo nikaruhusiwa kuingia kambini,anyway sikupata tabu kabisa,maana kuna afisa wa kike alinizimikia aliponiona,so nikawa natoroka camp naenda kumpa ile kitu taaamu ya asali,basi nikawa kama boss,nilipewa kila aina ya chakula na pombe ili niweze kufanya shughuli nzito usiku ikiwemo tigo kwa kwenda mbele,VIVAAAAAA JKT MAKUTUPORA,mpaka leo naikumbuka na nillibatiza jina taamu,JKT MATOMBO NA SIO MAKUTUPORAAAAAAA HAHAAAAAA JKT MATOMBOOOOOO HOYEEEEEEEE.Wazalendo;
Moja ya shemu ya maisha yangu ambayo kamwe sitasahu ni kupitia JKT.
Nilijiunga na JKT Ruvu na baadaye nikaenda Service Buhemba Lwamkoma.
Sitosahau kamwe mafunzo ya ukakamavu, kwata, mchaka mchaka, disko na vitimbi mbalimbali kati ya Makuruta na Maafande. Nilikuwa Combania E.
Moja ya vituko vya kukumbuka ni simulizi kutoka- Operation OKOA, kulikuwa na huyu jamaa alikuwa ni mweusi sana anaitwa afande Lucas, badala ya kuwaaamsha kuruta kwa filimbi, alikuwa anaingia na kuvuta Sigara. Kuruta inatakiwa ukisikia harufu ya Sigara uamke na kufoleni nje. Usipotoka in time unakula mijeledi.
Basi siku moja Kuruta wakapanga wamfanyizie na wakatoka mapema nje na kujificha huku ndani kwenye Bweni wakiyaviringisha mablanketi mithili ya mtu amelala. Afande alipomaliza sigara hakuna aliyetoka akajua siku hiyo kuruta wamegoma kuamka na kuanza kuchapa viboko yale mablanketi yaliyovingirishwa. Alishtukia kaanza kushambuliwa yeye na kuruta toka nje ambao walikuwa na fimbo kibao mpaka akakoma. Kisha kuruta wakafoleni nje. Nakumbuka Mkuu wa Kombania alipata habari na kulikuwa na drill si kawaida na mpaka push ups za kunusa mkojo katika nyasi walizokuwa wanakojoa kuruta usiku. Hata hivyo yule afande naye alikoma kwani hakurudia mchezo wa kuwaamsha watu kwa sigara.
Kwa waliokuwa Ruvu Operation Okoa:
Na miss - Ugali na korosho mnapojongo kambini
Namiss Mihogo ya Vibwende kwa Babu
Wali na Maembe
Uji wa Mestin ya Jeshi
Bukta na Green Vest
Kuokota kuni
Bustani
Michezo
Disco . . . Ama Johnnnnn ambaaaa ambaaa John, amba Johnnn wa Tanzania . .
. . . . Arusha Mbali, Arusha Mbali, tukumbukane kwa Barua nk.
Nakumbuka pia siku moja sikuimbisha disco vizuri na kipindi kile 1985 bado kulikuwa kuna ubaguzi wa rangi Africa Kusini, basi afande akanipiga mkwala na kuniambia . . . .
"Kuruta nitakutemea mate yenye sumu usoni upofuke macho, na sijui utatibiwa wapi kwani mipaka yote Afrika Kusini imefungwa . . . (Kana kwamba hakukuwa na hospitali ya kutibu mate ya sumu hapa bongo"
Jamani mliokosa JKT, mlikosa mengi, japo tulipata tabu lakini tulijifunza mengi katika maisha.
Je, wewe unakumbuka nini?
Mkuu usijali,huko kambini mademu woote waliokuja humbwato na maboss,na pia sisi makuruta huwa tunawala kichizi,unajua kwata inaleta nyege sana au vipi? hasa mademu,yaani ile mipaja na mikia kutikisika na kusuguana,daah hapo sasa pata picha ya clit ina hali gani kwenye hiyo misuguani,basi tukisha kunywa uji na giza likaingia,basi hapo ni mbade mbade kwa kwenda mbele mpaka kieleweke.mi sijui lolote kuhusu JKT..
ngoja nisome huko huwa mnalima nini na nini
mmmh simpeleki mwanangu hata waseme hii ni ya kwa mujibu au kwa sheria...kama huko mbeleni kuajiriwa sifa kua na iko cheti chao, ajira ziko nyingi hata..makampuni na yeye atajiajir tu ila si kwa upuuzi huu!!Mkuu usijali,huko kambini mademu woote waliokuja humbwato na maboss,na pia sisi makuruta huwa tunawala kichizi,unajua kwata inaleta nyege sana au vipi? hasa mademu,yaani ile mipaja na mikia kutikisika na kusuguana,daah hapo sasa pata picha ya clit ina hali gani kwenye hiyo misuguani,basi tukisha kunywa uji na giza likaingia,basi hapo ni mbade mbade kwa kwenda mbele mpaka kieleweke.
Nimecheka hadi nimelia machoziJamaa mmoja alikuwa mwoga sana, anaogopa sana adhabu. Kama kawaida ya jeshi. ilikuwa ni lazima utandike kitanda vizuri kwa style ya jeshi, kila kitu, shuka, blanketi, kitanda mess tin, kwa dressing. Haya yote unatakiwa ufanye kabla hujapurukushwa kwa wito wa 'FOLEN'! Basi huyu jamaa alikuwa anatandika kitanda chake vizuri usiku tukitoka disco, halafu alikuwa analala chini! Tulikuwa tunamcheka sana, lakini baadae tukawa tunamuonea huruma.
Njemba moja alikuwa akizurura kutwa na sururu. Akiulizwa, askari unakwenda wapi, anasema ametumwa kazi na afande fulani. Tulikuwa tunamuonea huruma maana alikuwa anazurura kutwa na sururu baada ya kulala porini kama sie wengine wajongomeaji.
Tulijifunza kutomaliza kazi mapema, maana ukiripoti umemaliza kazi uliyopewa, unabambikiziwa nyingine. Tulikuwa na midomo yenye fridge, maana kama jamaa yako alikuwa zamu jikoni, akikuchotea nyama au wali kwenye mess tin, unatakiwa umeze haraka, hata kama ni vya moto kiasi gani. Ulitakiwa uwe mwizi sana, hasa wa kofia, maana kama umeibiwa kofia na hukuvaa, unapewa adhabu. Mimi nilizoea kuwaibia maafande kofia zao, maana ilikuwa ni rahisi kwao kupata nyingine.
Katika kombania yetu tulikuwa na wahindi wawili. Siku moja kwenye disco, baada ya wiki kadhaa za kukaa jeshini, mhindi mmoja akawa anatufundisha wimbo wa kihindi. Tulijifunza, lakini yule mwingine akawa anacheka sana,. Sisi tukadhani kuwa maneno ya wimbo ule yanachekesha. Kesho yake ilibainika kuwa yule Mhindi aliyetufundisha ule wimbo ametoroka. Yule mhindi aliyebaki akatuambia alikuwa anacheka sana maana maneno ya wimbo ni: Kwaherini, mimi kesho natoroka!
Siku moja kombania yetu ilikuwa zamu. Platoon yetu ikapelekwa kwa kuku. Kama kawaida, ukishafika huko unakazana kubugia kwa wingi mayai mabichi kiasi utakachoweza. Baada ya kumaliza kazi, tukachukua mengine, tukajaza kwenye mifuko ya combat. Rafiki yetu mmoja akachukua mengine akayaweka kwenye jungle hat yake, halafu akaivaa. Tukawa tunaondoka kutoka kwa kuku, tukiwa na dhamira ya kwenda kwenye jongomeo letu msituni. Mara tukakutana na ma MP. Kitu kilichotuponza siku hiyo ni kutokuvaa vizuri. Hatukufunga kamba boot, mashati hayakufungwa vifungo nk. MP mmoja akasema, 'Askari, simama. Mbona mmevaa kama askari wa kukodiwa?' Akamuita yule jamaa aliyevaa jungle hat yenye mayai. 'We, kuja hapa, mbona umening'iniza kofia? Njoo hapa nikuonyeshe namna ya kuvaa'!! Akashika kofia, akaishusha kwa nguvu ili aizingushe zungushe kwa nguvu kichwani. Lo, si mayai yakavunjika! Yakaanza kumwagika usoni mwa jamaa. Basi tukazingirwa tusikimbie. Tukasachiwa likapatikana karai zima la mayai. Tukapigishwa fang fang usawa wa Quarter Guard, tayari kwa kufungwa na kuwa court marshalled.
Muda huo ulikuwa mchana na chakula cha ma MP kilikuwa kimeletwa. Basi ma MPwote, isipokuwa mmoja, wakaenda kula. Ikatokea kuwa kitabu cha kuandikisha mahabusu kimejaa, MP akaenda kuchukua kingine. Wakati huo tupo kwenye baraza la Quarter Guard, bado hatujawekwa ndani. Kuona upenyo huo, tukaamua tutoroke. Mmoja wetu akakumbuka kuwa tumesahau karai letu la mayai, akalirudia, tukatokomea nalo msituni. Mchana ule tulikula vizuri sana mayai ya kuchemsha .
Wakati wa usiku kwenye disco, tukaona kundi la ma Mp linakuja usawa wa kombania. Tukajua, leeo tumepatikana. Wakaongea na kamanda wa kombania, halafu muda si mfupi wakaondoka. Baada ya wao kuondoka,kamanda akasoma majina yetu na kutuita tutoke mbele. Akautuuliza, nyie mlikuwa kwa kuku leo? Tukamuambia ndio. Akasema safi sana, nyie askari wazuri sana, mmekamatwa, lakini mkaweza kutoroka, pamoja na mayai yenu. Huo ndio uaskari. Hatukupewa adhabu, disco likaendelea!
mmmh simpeleki mwanangu hata waseme hii ni ya kwa mujibu au kwa sheria...kama huko mbeleni kuajiriwa sifa kua na iko cheti chao, ajira ziko nyingi hata..makampuni na yeye atajiajir tu ila si kwa upuuzi huu!!
asante kwa kunifumbua
Wazalendo;
Moja ya shemu ya maisha yangu ambayo kamwe sitasahu ni kupitia JKT.
Nilijiunga na JKT Ruvu na baadaye nikaenda Service Buhemba Lwamkoma.
Sitosahau kamwe mafunzo ya ukakamavu, kwata, mchaka mchaka, disko na vitimbi mbalimbali kati ya Makuruta na Maafande. Nilikuwa Combania E.
Moja ya vituko vya kukumbuka ni simulizi kutoka- Operation OKOA, kulikuwa na huyu jamaa alikuwa ni mweusi sana anaitwa afande Lucas, badala ya kuwaaamsha kuruta kwa filimbi, alikuwa anaingia na kuvuta Sigara. Kuruta inatakiwa ukisikia harufu ya Sigara uamke na kufoleni nje. Usipotoka in time unakula mijeledi.
Basi siku moja Kuruta wakapanga wamfanyizie na wakatoka mapema nje na kujificha huku ndani kwenye Bweni wakiyaviringisha mablanketi mithili ya mtu amelala. Afande alipomaliza sigara hakuna aliyetoka akajua siku hiyo kuruta wamegoma kuamka na kuanza kuchapa viboko yale mablanketi yaliyovingirishwa. Alishtukia kaanza kushambuliwa yeye na kuruta toka nje ambao walikuwa na fimbo kibao mpaka akakoma. Kisha kuruta wakafoleni nje. Nakumbuka Mkuu wa Kombania alipata habari na kulikuwa na drill si kawaida na mpaka push ups za kunusa mkojo katika nyasi walizokuwa wanakojoa kuruta usiku. Hata hivyo yule afande naye alikoma kwani hakurudia mchezo wa kuwaamsha watu kwa sigara.
Kwa waliokuwa Ruvu Operation Okoa:
Na miss - Ugali na korosho mnapojongo kambini
Namiss Mihogo ya Vibwende kwa Babu
Wali na Maembe
Uji wa Mestin ya Jeshi
Bukta na Green Vest
Kuokota kuni
Bustani
Michezo
Disco . . . Ama Johnnnnn ambaaaa ambaaa John, amba Johnnn wa Tanzania . .
. . . . Arusha Mbali, Arusha Mbali, tukumbukane kwa Barua nk.
Nakumbuka pia siku moja sikuimbisha disco vizuri na kipindi kile 1985 bado kulikuwa kuna ubaguzi wa rangi Africa Kusini, basi afande akanipiga mkwala na kuniambia . . . .
"Kuruta nitakutemea mate yenye sumu usoni upofuke macho, na sijui utatibiwa wapi kwani mipaka yote Afrika Kusini imefungwa . . . (Kana kwamba hakukuwa na hospitali ya kutibu mate ya sumu hapa bongo"
Jamani mliokosa JKT, mlikosa mengi, japo tulipata tabu lakini tulijifunza mengi katika maisha.
Je, wewe unakumbuka nini?
Umenikumbusha B-Coy Mgambo JKT OP Kikwete 2015 mkuu.Kabeya alikuwa tall fulani hivi na English yake ya this time tomorrow.Wame nilikuwa simpendi kinouma maana jamaa alikuwa hatari sana kwa madoso na route za shamba.Matroni Beatrice alikuwa mrembo kinouma ila roho mbaya mamaeeeee.Kama kweli wewe ndio yule Amos basi nishakusoma mkuu.Nakumbuka MGAMBO JKT 835 tanga kina afande wame afande nurdini afande kabeya jamaa yee hatari ujinga