nyaunyau
Senior Member
- Oct 28, 2009
- 132
- 26
Ilikuwa operation vyama vingi,tulikuwa pamoja mkuu,huyo Sgt mlimbila alikuwa akiwaingilia makuruta na wake Wa mastaff kimiujiza,Bubu Msema Hovyo, kisa chako ni kizito na kimenigusa sana . . .
I am starting to think sijui tuandike kitabu cha "VISA VYA JKT" . . . very interesting