Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
kuuza, kununuliana, magari, nyumba, viwanja.
Jaribu kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki, tengeneza mtandao wa kibiashara
Uwe mjasiliamali'' You do not need a showroom to be a car dealer''.
Ota ndoto ya kumiliki biashara yako mwenyewe, uwe na uchu wa kuwa mjasiliamali aliyefanikiwa.
Tutakuongoza kukujengea mazingira ya jukwaa kwa lengo la kufanikisha biashara yako. Hapa hauna haja ya kuwa na msingi wa uwekezaji au mtaji, au kuwa na vitendea kazi au ofisi ghala au duka. Hutakuwa na wajibu wa kulipa mishahara kwa wafanyakazi. Sisi tutawalipa wao kwa kazi wanayokufanyia wewe kwa kuwalipa wao kamisheni kama fidia.
Kwa kuanzia tumia mwongozo huu hapa chini.
kwa maelezo zaidi tuendelee kuwasiliana.
Ikiwa unahitaji kuuza, kupanga, kupangisha, kununua, MAGARI, kiwanja,nyumba, apartment, duka, showroom, beach plot, warehouse, commercial plot, au bungalow USIHANGAIKE. Ukiwa Dar es Salaam piga simu namba 0717114409/0874225000/0755312233
barua pepe; emanuel.kayinga@gmail.com .
Hata kama una jamaa, rafiki au ndugu umemsikia anahitaji kuuza au kununua, kupanga au kupangisha tufahamishe tuwasiliane baada ya biashara kufanyika utapata mgao wa kamisheni .Kwa kifupi utakuwa umjiongezea kipato cha ziada
barua pepe; emanuel.kayinga@gmail.com .
Hata kama una jamaa, rafiki au ndugu umemsikia anahitaji kuuza au kununua, kupanga au kupangisha tufahamishe tuwasiliane baada ya biashara kufanyika utapata mgao wa kamisheni .Kwa kifupi utakuwa umjiongezea kipato cha ziada
Jaribu kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki, tengeneza mtandao wa kibiashara
Uwe mjasiliamali'' You do not need a showroom to be a car dealer''.
Ota ndoto ya kumiliki biashara yako mwenyewe, uwe na uchu wa kuwa mjasiliamali aliyefanikiwa.
Tutakuongoza kukujengea mazingira ya jukwaa kwa lengo la kufanikisha biashara yako. Hapa hauna haja ya kuwa na msingi wa uwekezaji au mtaji, au kuwa na vitendea kazi au ofisi ghala au duka. Hutakuwa na wajibu wa kulipa mishahara kwa wafanyakazi. Sisi tutawalipa wao kwa kazi wanayokufanyia wewe kwa kuwalipa wao kamisheni kama fidia.
Kwa kuanzia tumia mwongozo huu hapa chini.
1. Orodhesha idadi ya watu unaowafahamu ndugu, jamaa na marafiki.
Idadi yao isipungue 120. watumie ujumbe mfupi wa maneno ''ukiwa unahitaji kuuza au kununua gari nione'' au ukiwa unahitaji kuuza au kununua nyumba tuwasiliane. Ukiweza kuwapigia itakuwa vema zaidi. Lakini ikiwa umetuma ujumbe haujajibiwa usikate tamaa. Ipo siku wataukumbuka huo ujumbe watakapokuwa wamekutana na uhitaji. Matharani unatazama kipindi katika Tv au katika radio, katikati ya kipindi linatolewa tangazo linaloelezea habari za tembe inayoponyesha maumivu ya kichwa kwa haraka. Kwa sababu wakati huo hausumbuliwi na maumivu hutajali lakini siku utakaposumbuliwa na maumivu utalikumbuka lile tangazo.
Chukulia hao 120 kama ndio msingi wa biashara.
Usihishie hapo hakikisha kuwa kila mwezi orodha hiyo inaongezeka kwa asilimia 15. kumbuka kwa kutuma ujumbe wa maneno kwa watu 120 itakugharimu shs 500 kwa xtreme sms ya mtandao wa tigo.
Anza sasa kujifunza kuwa mjasiliamali usisubiri kuanza baada ya kupunguzwa kazi (ridandansi) ''redundunce''. Ukiwa umefanya mazoezi kama haya ninayokuelekeza utatumia redundancy payment kuimarisha biashara yako. Kumbuka kuna makampuni makubwa kuliko hilo unalofanyia kazi yamefilisika, kampuni kama LEHMAN BROTHERS limeacha wataalamu kama wewe vijiweni. Kama haulijui hilo kampuni nenda google weka hilo neno utapata habari yake.
Mwisho chagua hivi leo kati ya kuajiriwa, kujiajiri, kuwa mwekezaji au kumiliki biashara yako kwa kuanzia mtaji wa watu 120 plus xtreme sms zenye thamani ya sh 500. Zingatia, awamu hii iwahusishe watu ambao umewafahamu katika muda wote maisha yako katika physical body.
Nimeambatanisha Buyer's property inspection report na checklist for evaluating used vehicles. Hizi nazo zitakusaidia kuifanya vizuri hii temporary job.
kwa maelezo zaidi tuendelee kuwasiliana.