Haya nakuja private.. wajinga wasijeiba style zangu humuHebu anza kunidanganya sasa, coz hata mimi ni professional. Ukiweza nakutunuku certificate of competence..
Ulifanywa nn??Nikikumbuka huwa nalia
Hahaaaaaanilipewa saa kama zawadi ya birthday, kumbe saa alichukua kwa boya mwingine huko, yule mwanamke sito kaa nimsahau
Hehene kweli hasa hapo dar mitaa ya postaIla asee kuna wanawake ni wazuri sana asee !wanashawishi sana mpaka unamsahau wife hivi hivi ukiona
UsilieeeNikikumbuka huwa nalia
HeHahaaaaaa
Hehehenilidanganywa ni rafiki wa mamaake kumbe mke mkubwa.... sina hamu wanaume nyie mmmh.
.....Women Lie Men Lie, Hamna Generation Yenye Wakati Mgumuuuuuu Kam Hii Ya Sasa, Ni Generation Yenye Changamoto Nyingi Sana Kwenye Mahusiano Hadi Kufikia Kufunga Pingu za Maisha, You Can Try To Date Randomly, Usiwe Na Moja jaribu kuwa Mjanja Mjanja Unakuwa na Demu Ila Usipende Sana Kuweka Pesa Mbele, Mwonyeshe Mapenzi ya Kweli na Jaribu Kumfanyia Brain Wash Kwenye Suala la Wanaume wanaotumia Pesa Sana na Athari ZaoBwana yesu asifiwe,
Nanguliza shukrani kwaiko wewe ambaye umesoma hapa,
Nina orodha ya udanganyifu niliowahi kufanyiwa na wenzangu ( wapenzi mbali mbali) ila niligundua.
1. Mmoja mwanafunzi wa chuo flan pale karibu na mkulu aliniambia nimpe hela akatoe mimba yangu maana ana mimba ya miezi miwili, nikampa laki na nusu kumbe anamtumia men wake kakwama Morogoro, dah nikagundua nikauchuna,
2. Mwingine aliwahi kunambia nisiende alipopanga maana kuna mtoto wa mamamdogo wake kutoka arusha , nikasema sawa lakin nikanyata taratibu nkachungulia nkakuta njemba imemuweka kifuani dar nikashuhudia live yan, nikagonga hodi akasema sikujui,
3. Mwingine akanambia kuwa ana maombi kanisani usiku kumbe ana mimba ya mshikaji mwingine anaenda kutoa , nikagundua,
4. Mwingine akawa anatembea na mshikaji mtaani eti ni mtoto wa shangazi, yaan mpaka sasa sina hamu
Je wewe uliwahi kudanganywa kipi na ukagundua?
Twambie tupate funzo
Babu unatakiwa uanzishe Uzi wa kuzungumzia mahusiano ya kuhusisha mapenzi na yasiyojikita katika mapenzi.....Women Lie Men Lie, Hamna Generation Yenye Wakati Mgumuuuuuu Kam Hii Ya Sasa, Ni Generation Yenye Changamoto Nyingi Sana Kwenye Mahusiano Hadi Kufikia Kufunga Pingu za Maisha, You Can Try To Date Randomly, Usiwe Na Moja jaribu kuwa Mjanja Mjanja Unakuwa na Demu Ila Usipende Sana Kuweka Pesa Mbele, Mwonyeshe Mapenzi ya Kweli na Jaribu Kumfanyia Brain Wash Kwenye Suala la Wanaume wanaotumia Pesa Sana na Athari Zao
Ulikuwa bwege wa kiwango cha lami....HahahahaWe unakumbusha watunmachungu
Niliwahi kumlea Mme nwenzangu nkidanganywa ni ndugu,
Ila nikamtimua