muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 999
Kwann ukiwa katika hali ngumu watu wansajiweka mbal nawe? na wanajisogeza kwa yule alie vizuri kiuchumi,kimaisha etc..
Binaadam tutaacha lini huu unafki?
Mi nshaapa hakyamama siku mtu anikute nashine mwenye pesa asijisogeze kwangu..
Wasamehe banaa. But indeed inabidi kuwa makini na watu wanaoitwa marafiki