Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,034
- 1,792
Yote kwa yote sitaki kukumbuka aseeeee msote uusikie kwa mwenzako tu
VIP huyo mke alirudi? Ulikuwa umezaa nae?Aisee sikia kwa mtu tu yasikupate wewe!
Nakumbuka mwaka 2013 ulikuwa kama mwaka wa mikosi kwangu,mwaka huo nilikuwa nauguza baba yangu miezi miwili hospitali kwa tatizo la kansa.Mwezi wa sita akafariki,sijapoa na machungu ya msiba mwezi wa nane nikaachishwa kazi.Baada ya kuachishwa kazi,niliandamwa na matatizo lukuki ambayo nikianza kusimulia hapa naweza nikaishia kulia tu.
Kwa ufupi amani kwenye ndoa yangu ikaisha kabisa,nikagombana na mke wangu(nahisi kwa kuwa maisha aliyozoea akawa hayapati tena),akaamua kuondoka nyumbani kwenda kwao,kuna nyumba niliyokuwa najenga,akabeba hati zote za manunuzi ya kile kiwanja akaondoka nayo.Nimekaa miaka miwili bila kazi mpaka mwaka huu ndo nimeamua kujiajiri mwenyewe.Daah,ngoja niishie hapa wakuu!Inaumiza sana.
Alirudi mkuu nilikuwa nimezaa nae mtoto mmoja na aliondoka nae.Lakini namshukuru Mungu naendelea kupambana na maisha.VIP huyo mke alirudi? Ulikuwa umezaa nae?
Nami ntamsaidia kidogo nilichonacho weka namba ya simu!God is great,tupia number yako ya simu ndugu waweza pata msaada
Pole sana, Mungu atyakusimamia. Matatizo kiubinadamu tunayaona mabaya lakini yanajenga. Mungu akuzidishie.Aisee sikia kwa mtu tu yasikupate wewe!
Nakumbuka mwaka 2013 ulikuwa kama mwaka wa mikosi kwangu,mwaka huo nilikuwa nauguza baba yangu miezi miwili hospitali kwa tatizo la kansa.Mwezi wa sita akafariki,sijapoa na machungu ya msiba mwezi wa nane nikaachishwa kazi.Baada ya kuachishwa kazi,niliandamwa na matatizo lukuki ambayo nikianza kusimulia hapa naweza nikaishia kulia tu.
Kwa ufupi amani kwenye ndoa yangu ikaisha kabisa,nikagombana na mke wangu(nahisi kwa kuwa maisha aliyozoea akawa hayapati tena),akaamua kuondoka nyumbani kwenda kwao,kuna nyumba niliyokuwa najenga,akabeba hati zote za manunuzi ya kile kiwanja akaondoka nayo.Nimekaa miaka miwili bila kazi mpaka mwaka huu ndo nimeamua kujiajiri mwenyewe.Daah,ngoja niishie hapa wakuu!Inaumiza sana.
Mimi Ni mwanamke lakini mwanamke anaemkimbia Mumewe kutokana Na matatizo namchukia Sana,Alirudi mkuu nilikuwa nimezaa nae mtoto mmoja na aliondoka nae.Lakini namshukuru Mungu naendelea kupambana na maisha.
Acha tu,ila naishi nae kwa machale sana sasa hivi.Mimi Ni mwanamke lakini mwanamke anaemkimbia Mumewe kutokana Na matatizo namchukia Sana,
I ain't that strong swts, but behind me is a very strong God. Trust me kuna muda kama binadamu wengine nakata tamaa pia, najifungia chumbani nalia weeee but nikimaliza nashukuru Mungu coz several times nimeshawahi hisi like "I'm never gonna make it", but Mungu akanivusha katika magumu yangu. So naamini kwa yote yatakayonipata, Mungu ana makusudi na mimi and Yes navuka kutoka stage moja kwenda stage nyingine kubwa zaidi. The key is to be Grateful always. Don't complain, Just Praise Always...Kama hakina faida na mimi, Mungu asingeruhusu kinipateYour the strong girl and i've got no doubt for that
You had every good song for every mood and that's the greatest faith to survive with!
unataka kazi gani....au umesomea nini?mimi bado napitia sijaweza kuchomoka kwenye tatizo la ajira
Hustle ninayokumbuka ni ile ya kula mlo mmoja kwa siku tena kwa shida alafu asubuhi ukiamka unasikia jamaa anamtoa demu alie lala nae elfu kumi
Inauma sana bty nashukuru Mungu maisha yanakwenda
Hapa nina maanisha kufirisika/kufulia kukosa uhakika wakupata angalau chai kwa siku kutengwa na ndugu. Kukosa kazi muda mrefu, kuugua na watu kukutenga, kukosa kodi ya nyumba/mahali pa kulala, kusingiziwa kwamba hutafuti kazi au kusemwa umelogwa ndugu kusema una laana.Kukatishwa tamaa kwamba Mungu kakuacha,kwamba unasali uongo
kudharauliwa na mambo kama hayo.
Je uliweza vipi kuchomoka katika hali hiyo?
pole sana mtumaini Mungu milango itafunguka tumimi bado napitia sijaweza kuchomoka kwenye tatizo la ajira
ulie anzisha thread umeyazua sasaHayo yote uliyoyaandika , ndio nayapitia sasa. Tena yamekuwa kwa muda mrefu sana.
Ilifika mahala nikaenda SCOAN Nigeria kwa PTB Joshua kwa njia ya bara bara ( nilitumia siku 76 kufika)
Nimekuwa kiroho sana. But matatizo yapo pale pale. Na yanazidi kuongezeka mpaka kukimbiwa na watu wa karibu kabisa, uliowasomesha na kuwainua juu.
Wakwe kukuona kama mwehu, mke kukuona hufai , na kuudharau Wokovu wako.
Mara waseme sitaki Kazi, na kwamba nachagua Kazi. Wakwe wanamsisitiza mke wangu aachane na Mimi kuwa nampotezea muda, sina Kazi.
Nakuwa karibu sana na Mungu kila mara. Na ninafunga na kuomba kila mara.
Hii ni sehemu ambayo naitumia kusali mchana na Usiku..., asubuhi mchana jioni.
Usiku kabla ya saa 6 , Then saa 7-8 , na saa 9-10.
Nimetandaza vyeti vyangu vyote kuanzia chini hadi Postgraduate, na mahitaji ya watu wengine.
Natumia muda kuwaombea maadui
mungu hana specific principles kias mpaka asijue nini unataka omba hata meli kama alitaka kukupa baiskel atakupa hyo baiskel .....MUNGU MkubwaKutokana na maelezo yako, unavita kubwa katika ulimwengu wa roho, na vita vyako hutashinda kwa nguvu za kimwili. unahitaji maombi maalum ya ukombozi, ndio umeokoka lakini kuna vifungo utakuwa umefungwa kwavyo na inahitaji maombi maalum na ufunuo kwaajili ya kuvi deseable, inaonekana umekuwa ukiomba mara zote bila kujua specific nini cha kuombea, umekuwa ukiomba kwa ajili ya kupata kazi, lakini shida sio katika kupata kazi.
Ni kosa kubwa sana katika maombi kuomba bila target, au kulenga wrong target. kama inashindikana kabisa ni vizuri kuwa na mfungo wa utakaso na maombi katika Roho. ROMANS 8:26-28. MATTHEW 17:21. Ina bidi ufanye mfungo wa maombi kuomba Roho mtakatifu akufunulie ( akuonyeshe) wapi palipo na tatizo ili uweze ku deal direct na chanzo.
Kaa chini tafakari, angalia historia ya maisha yako, ya wazazi wako. kuna mahali palifanyika agano fulani la kiroho? Je kuna jambo wewe ulowahi lifanya ambalo linaweza kuwa sababu ya milango kufungwa? jaribu kuangalia hata yale madogo ambayo unaona ni irrelevant. Fanya sala ya toba ya ukombozi ( special deliverance) na kama kuna mahali kwa namna moja au nyingine unahisi ulifanya jambo ambalo lilimuumiza mtu sana, katengeneze nae, machozi ya mtu ni mabaya sana.
kazi IPO enheNina Vita kubwa sana katika Ulimwengu wa Roho, kwasababu shetani na majeshi yake yote wananifahamu vizuri sana , that I am a noble person ( A righteous branch and the repairer of the broken walls) ; Naelewa kuwa wanaumiza vichwa sana jinsi ya kunimaliza kwa muda mrefu wameshindwa.
Wakati nazaliwa, nilizaliwa nikatoka na chupa ya uzazi kama mnyama; na hata baada ya kuipasua chupa wakanikuta kondo la uzazi limeniviringa mara tatu shingoni.
Nikiwa na 3 years, niligundulika kuwa ni bubu, nikakatwa karimi.
Baadae nikapata mke mwenye HIV+ na nimeishi nae kwa zaidi ya 8 years bila kupata maambukizi wala watoto wangu kupata maambukizi. What a mighty God.
So nina elewa kuwa Mwili wangu sio wa kawaida, kwasababu ya kuepuka vifo vingi sana. Niliwahi kutekwa na Magaidi zaidi ya mara 2 na hawakuweza kunifanya kitu.
I know the truth, wa haya yote. Sio kwa nguvu zangu.
I ain't that strong swts, but behind me is a very strong God. Trust me kuna muda kama binadamu wengine nakata tamaa pia, najifungia chumbani nalia weeee but nikimaliza nashukuru Mungu coz several times nimeshawahi hisi like I'm never gonna make it, but Mungu akanivusha katika magumu yangu. So naamini kwa yote yatakayonipata, Mungu ana makusudi na mimi and Yes navuka kutoka stage moja kwenda stage nyingine kubwa zaidi. The key is to be Grateful always. Don't complain, Just Praise Always...Kama hakina faida na mimi, Mungu asingeruhusu kinipate
AMENDaah!!.,umesema kila kitu
Heaven ujue haya maisha mambo hayawezi kua sawa kila siku na matatizo hayana kwao ndio maana yapo kwetu kila siku yanashinda
Ila nina imani hiyo pia yana faida ndio maana yanatupata na BWANA hutupa vizingiti anavyoamini tunavimudu..lets just keep in faith!