libent
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 382
- 84
leo nimeshuhudia jamaa amekoswa kidogo kuwekwa kwenye tairi baada ya kuitiwa kelele za mwizi. Huyu jamaa alikuja kwa jirani yetu kudai pesa yake aliyokuwa anamdai huyo kibosile ambaye kwa sasa anaonekana kufulia sasa baada ya mabishano makali ndipo yule kibosile akaanza kuita mwizi!mwizi, ikabidi sisi tumtetee yule kijana maana alikuwa tayari ameshapagawa hajui la kufanya. Je wewe kelele hii ilishawahi kukufika?. Nashut down