je ulishawahi kuitiwa mwizi

libent

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
382
84
leo nimeshuhudia jamaa amekoswa kidogo kuwekwa kwenye tairi baada ya kuitiwa kelele za mwizi. Huyu jamaa alikuja kwa jirani yetu kudai pesa yake aliyokuwa anamdai huyo kibosile ambaye kwa sasa anaonekana kufulia sasa baada ya mabishano makali ndipo yule kibosile akaanza kuita mwizi!mwizi, ikabidi sisi tumtetee yule kijana maana alikuwa tayari ameshapagawa hajui la kufanya. Je wewe kelele hii ilishawahi kukufika?. Nashut down
 
leo nimeshuhudia jamaa amekoswa kidogo kuwekwa kwenye tairi baada ya kuitiwa kelele za mwizi. Huyu jamaa alikuja kwa jirani yetu kudai pesa yake aliyokuwa anamdai huyo kibosile ambaye kwa sasa anaonekana kufulia sasa baada ya mabishano makali ndipo yule kibosile akaanza kuita mwizi!mwizi, ikabidi sisi tumtetee yule kijana maana alikuwa tayari ameshapagawa hajui la kufanya. Je wewe kelele hii ilishawahi kukufika?. Nashut down

Una Shut Down basi mimi na Restart tehe tehe tehe tehe tehe.
 
leo nimeshuhudia jamaa amekoswa kidogo kuwekwa kwenye tairi baada ya kuitiwa kelele za mwizi. Huyu jamaa alikuja kwa jirani yetu kudai pesa yake aliyokuwa anamdai huyo kibosile ambaye kwa sasa anaonekana kufulia sasa baada ya mabishano makali ndipo yule kibosile akaanza kuita mwizi!mwizi, ikabidi sisi tumtetee yule kijana maana alikuwa tayari ameshapagawa hajui la kufanya. Je wewe kelele hii ilishawahi kukufika?. Nashut down

Kufulia si mchezo, unaweza kumuuza hata mkeo!!!!!!
 
libent hakuna kitu hatari kama kuitwa mwizi na ukashuhudia watu wanaokota mawe, fimbo, chupa...huku kwa mbali unaona wanaleta mafuta na kiberiti n.k

Jamii ya wasomi, waandishi wa habari, na watanzania wengine wengi kwa nafasi zao...tumeruhusu kila aina ya wtu kuitwa wezi wezi wezi.....we are done!

what are we??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom