MANIAJE
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 244
- 461
WACHAWI WA GAMBOSHI WAMEANZA KUFANYA MAAJABU YAO, WAANDAA MAANDAMANO KIMYA KIMYA.
Ivi maandalizi ya maandamano haya yalifanyikia lini?
Je maandalizi haya yalifanywa/kuhamasishwa kwa njia gani, je ni kwa njia ya mikutano ya hadhara au njia ya mitandao?
Kama jibu ni kwa njia ya mikutano ya hadhara, je jimboni kwako walikuja wahamasishaji?
Kama jibu ni kwa njia za mitandao ni mtandao gani ulitumiwa kuhamasisha?
NANI?
26 April 2018 Mwanadada Mange kimambi aliratibu maandamano kwa njia za mitandao.harakati hizo zilikua na wafuasi wengi mno kutoka nje na ndani ya nchi.
Vugu vugu hilo la maandamano lilizua taharuki kubwa kwa watawala mpaka kupelekea jeshi la polisi likatoka makorokoroni na kuja na vitisho vya hali ya juu dhi ya watakaoandamana.Kadiri siku zilivoenda polisi walizidi kuongeza vitisho.
Polisi walianza kupiga mazoezi makali dhidi ya raia wasio kua hata na gobore.
Hapo tuliona polisi wakiranda mitaani na barabarani huku wakiwa na silaha mzito mzito.RPC wa Dodoma Muroto alifika mbali na kusema watakaoandamana watapata tabu sana kipigo chao kitakua ni cha mbwa koko.
Hatimae polisi walifanikiwa kuzima maandamano na badalayake wakaingia mtaani wao na kuanza kuandamana bila kibali
Kituko cha leo>>>
Maandamano hayajulikani yameanzia wapi, yameratibiwa lini, nani kaandaa, waandamanaji wametoka wapi, chombo gani cha habari kilipewa tarehe ya maandamano.
Ivi maandalizi ya maandamano haya yalifanyikia lini?
Je maandalizi haya yalifanywa/kuhamasishwa kwa njia gani, je ni kwa njia ya mikutano ya hadhara au njia ya mitandao?
Kama jibu ni kwa njia ya mikutano ya hadhara, je jimboni kwako walikuja wahamasishaji?
Kama jibu ni kwa njia za mitandao ni mtandao gani ulitumiwa kuhamasisha?
NANI?
26 April 2018 Mwanadada Mange kimambi aliratibu maandamano kwa njia za mitandao.harakati hizo zilikua na wafuasi wengi mno kutoka nje na ndani ya nchi.
Vugu vugu hilo la maandamano lilizua taharuki kubwa kwa watawala mpaka kupelekea jeshi la polisi likatoka makorokoroni na kuja na vitisho vya hali ya juu dhi ya watakaoandamana.Kadiri siku zilivoenda polisi walizidi kuongeza vitisho.
Polisi walianza kupiga mazoezi makali dhidi ya raia wasio kua hata na gobore.
Hapo tuliona polisi wakiranda mitaani na barabarani huku wakiwa na silaha mzito mzito.RPC wa Dodoma Muroto alifika mbali na kusema watakaoandamana watapata tabu sana kipigo chao kitakua ni cha mbwa koko.
Hatimae polisi walifanikiwa kuzima maandamano na badalayake wakaingia mtaani wao na kuanza kuandamana bila kibali
Kituko cha leo>>>
Maandamano hayajulikani yameanzia wapi, yameratibiwa lini, nani kaandaa, waandamanaji wametoka wapi, chombo gani cha habari kilipewa tarehe ya maandamano.