Inasikitisha kuona Jeshi la POLISI linatoa taarifa za uongo makusudi ili kuangalia Watanzania watasema nini,haya masuala ya kuongozwa na mafisadi kuangamiza watu kwa kutumia vyombo vya USALAMA ni hatari sana.Nilitarajia uongo utasukwa kuzima moto wa Mh.SITA ili tuamini ni muongo kama wanavyo jaribu kupindua RICHMOND kuwa ni uongo na kuteka watu wawasafishe kwa gharama yoyote...NCHI imefika pabaya sana,si muda mrefu tutaanza kufanyiwa unyama kama watumwa.Tanzama hata kupanda DALADALA ni ubabe hata kama unapesa zako,vitu vinapanda bei kila siku,Wametengeneza MGOMO wa madaktari na bado wanaanda machafuko zaidi ili kufanya maangamizi kwa watu wanaowapinga...ARUSHA ni mfano tu,MBEYA na MWANZA zipo kwenye TARGET.DSM wanaogopa kwa vile ndipo wanapotegemea kuishi na kuratibu UMAFIA pia wanavitega UCHUMI vingi zaidi.
Narudia tena DR.Mwakyembe walimemtegeshea SUMU na wahusika ni wanausalama....Hivyo basi Siyo RAHISI kwa JESHI la POLISI kujichongea kwa wananchi ili kulinda IMANI juu ya CHOMBO hiki. RAI yangu kwa RAIS, kama ni kweli unampenda DR.MWAKYEMBE na Mh.SITA naomba uingilie kati hili suala haraka sana kabla nchi hajachafuka.I swear to my ALMIGHTY ,hawa watu watafikishwa ICC na tutawafilisi mali zao pindi tukichukua DOLA iwe kwa KURA au MAPINDUZI..........
Narudia tena DR.Mwakyembe walimemtegeshea SUMU na wahusika ni wanausalama....Hivyo basi Siyo RAHISI kwa JESHI la POLISI kujichongea kwa wananchi ili kulinda IMANI juu ya CHOMBO hiki. RAI yangu kwa RAIS, kama ni kweli unampenda DR.MWAKYEMBE na Mh.SITA naomba uingilie kati hili suala haraka sana kabla nchi hajachafuka.I swear to my ALMIGHTY ,hawa watu watafikishwa ICC na tutawafilisi mali zao pindi tukichukua DOLA iwe kwa KURA au MAPINDUZI..........