EBBAH
Member
- May 8, 2017
- 75
- 73
Hahahah mkuu chombo kikiwa na engine..unaenda nacho popote usiogope kikubwa service..halafu unatembea mwendo laini wa 50-80kph unafika vizuri tu. Pikipiki inatoboa mwanza vizuri tu(kitachomchosha devera ni makalio kuwaka moto kutokana na umbo la kiti cha pikipiki) sasa gari inashindwa vipi.