Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,732
Asante mkuu nimejifunza kitu kikubwa sana kwako,, nilishaua injini ya gx100 kwa safari ndefu mwendo mkali na kuizima ghafla pindi ninaposimama, japo haikufa siku hizo ila baadae ilopoteza ubora wake, kurudia tena safari ndefu ikanilaza njianiUkisoma user manual vizuri za toyota au gati nyingine ambazo injini ni chini ya cc 1500 utaona zimeandikwa 70 km ph. Lakini kwa undeshaji wa hapa kwetu utakuta mtu anatumia ist yenye cc 1400 au vits ya piston 3 cc 900 au paso piston 3 hadi anafikisha speed 1200 au wengine hata wanamaliza kabisa dash board yote speed 180. Ila utasikia harufi ya oil ikiuungua zaidi na inakuwa inatoa harufu kama mpira unaungua hivi. Na hata kama gari ni mpya utaona kuna moshi mwembamba mweupe utakuwa unatoka kwenye exhaust nyuma. Na wateja wengi ninapowaelewesha wanakuwa wabishi wanasema waliotengeneza gari wasingeweka speed 180 kwenye dashboard. Hivyo kwa ushauri kma utaweza kutembea 70kmph sawa ila kwa njia zetu ni ngumu kutembea mwendo huo mwanzo utaweza ila kuna wakati ukiwa njiani haswa kama una safari ndefu unajikuta umezoea barabara na speed unaongeza na unaona ni kawaida kwenya speed 120 kmph hata kama gari ni yenye cc ndogo.ndio maana fainaly tunashauriwa kenda km 800 per day onl kwa gari zanye cc chini ya 1500. Mwisho unapofika safari yako hakikisha sio unafika tu na kizima gari yako HAPANA iwache gari ingurume kwa dakika 30 ndipo uizime ni muhimu sana ili kurudisha mapigo ya injini katika hali ya kawaida,injini block ipoe,pisto zipoe na oil ishuke kwenye sample.kama una swali zaidi uliza nitakujibu