Soso J
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 1,976
- 1,220
Kikubwa ni service ya gar yako!Hakuna gari inayozuiwa kufanya masafa marefu!Kama gari yako haina service ya kutosha usiende tu hata Morogoro!Lakini hata iwe Passo Piston 3 utafika safari yako ya kilometa zisizopungua 1,500,000 that means nakuondoa shaka kuhusu IST!Itafika bila kupumzika popote!Kama ni dereva mzoefu wa Njia haswa kutoka Igunga mpaka Nzega ambako sio nzuri saana unatoboa tena mapemaa saa 4 usiku maximux hours unakuwa umefika!Lakini kwa ugeni na kuogopa Tochi utafika saa 6 au 7 usiku!!