Je, TBC hawaruhusiwi kusoma habari za CHADEMA?

jamani sio TBC peke yao,hata StarTv nilishuhudia juzi jamaa kairuka title ya CHADEMA, chunguzeni mtaona, taratibu mtastukia ITV na Channel Ten wanaanza kuruka na wao

star tv wao baada ya babu yao dialo kuwa mwenyekiti wa magamba mwanza nao imekuwa balaa tupu, utafikiri redio uhuru.
 
Enock Mbwigane leo asubuhi wakati wa kusoma magazeti, alikumbana na title kwenye gazeti la jambo leo "CHADEMA yabadili mbinu ya kuingia ikulu". Akataka kuisoma halafu akasita kaliweka gazeti kando na kuchukua gazeti jingine, nako kakuta kichwa cha juu kinamuhusu Mbowe kasema nunua mwenyewe uisome habari hiyo. Inawezekana ni sera yao kutosoma habari yoyote ya CHADEMA, inashangaza pesa za walipa kodi kutumiwa kwa matakwa ya kuwabeba wanasiasa fulani dhini ya wengine kwenye vyombo vya habari.

Kweli? Duh
Kama ni hivyo basi ni hatari
 
Tido angeifikisha mbali TBC.
TBC inapitwa na vyombo vya binafsi kama Citizen TV ya kenya!
 
Hivi kumbe bado kuna watu wanatazama tbc? Labda tu kama hakuna namna nyingine ya kupata habari
 
Hakuna anayetaka kusikia ma kuona habari za fujo matusi na maandamano big up tbc
 
Huo ni utumwa wa fikra, huwa nawaonea huruma sana, ni bora mtu ufe ukapumzike kaburini kuliko kuishi huku ukiacha utashi wako na kutumia utashi wa mtu mwingine kuamua mambo, ni aina mbaya sana ya utumwa kushinda ule wa wakoloni.
 
Siku zao zinahesabika kwani watakuwa wamepewa masharti magumu ya kutotamka neno CHADEMA, au mwanachama yoyote wa Chadema , isipokuwa tu watamke na warudie rudie kuyatangaza mabaya ya CHADEMA na kuficha Uovu wote unaofanywa na CCM. Ipo siku isiyokuwa na jina na muda si mrefu watu pale TBC watakuwawakijitoa wenyewe kwani chama cha Upinzani kikishika Dola sidhani kuna mtu atakubali kuendesha shirika la Umma kwa upendeleo wa wazi vile...let them enjoy but they know for sure the uncertainity of their employment at 2015 soon after the general election.Watanzania tunaolipa kodi zetu tunaona na kusikia kile mnachokifanya lakini mjue ngiriba na mbembe siku zote zina mwisho,

TBC na Cloud FM lao moja, Tukichukua inch, tutakomaa sana na hawa jamaa
 
Back
Top Bottom