FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,082
- 40,735
Nimepiga hesabu za haraka haraka, kwa makadirio, Tanzania imeshaokoa shs. Trillion 3 ambazo zingepotea kutokana na hasara inayoletwa na foleni, tangu kufunguliwa kwa Ubungo flyover.
Je, kiwango hiki cha pesa kina uhalisia?
Je, kiwango hiki cha pesa kina uhalisia?