Vancomycin
Senior Member
- Jan 7, 2011
- 171
- 111
Salaam wakuu...!
Asubuhi kabla sijainua miguu yangu kueleke kutafuta riziki ya kila siku nimeona mwendelezo wa kile wananchi wengi wakistaajabu kwa kituo cha luninga cha Star kutomuonyesha mbunge wa Ilemela (CHADEMA), Mh.HIGHNESS KIWIA alipokuwa akiwasilisha hotuba ya kambi ya upinzani akiwa ni waziri kivuli wa Maji. Swali je atakapokuwa anasoma bajeti hii hawatamuonyesha?
Nadhani siasa ni kupingana kwa hoja na sio uadui. Ndugu zangu tujadili kama jambo hili ni sawa hata kama kituo cha tv ni mali yako.
Asubuhi kabla sijainua miguu yangu kueleke kutafuta riziki ya kila siku nimeona mwendelezo wa kile wananchi wengi wakistaajabu kwa kituo cha luninga cha Star kutomuonyesha mbunge wa Ilemela (CHADEMA), Mh.HIGHNESS KIWIA alipokuwa akiwasilisha hotuba ya kambi ya upinzani akiwa ni waziri kivuli wa Maji. Swali je atakapokuwa anasoma bajeti hii hawatamuonyesha?
Nadhani siasa ni kupingana kwa hoja na sio uadui. Ndugu zangu tujadili kama jambo hili ni sawa hata kama kituo cha tv ni mali yako.